Kilimo chan Almonds kipo ktk mkoa wa Morogoro. Ni mmea mwepesi sana kuota na kukua, unahimili vyema mabadiliko ya hali ya hewa. Unahitaji hali ya hewa yenye mvua za kati na zaidi.
Hukua kwa urefu sana, ila ktk ukulima wa kisasa ni muhimu kupunguza matawi.
Tuwasiliane kwa ushauri zaidi. 0713370555
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.