Recent content by tradewithUrio

  1. T

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri biashara ya magari ya mchanga 20cbm FAW, HOWO

    Naombeni ushauri kwa wawekezaji kwenye hii sekta mikataba kwa siku dereva analeta kiasi gani kwa boss kwa gari ambayo ni mpya ,mikataba inaenda kwa miaka mingapi maintainance nzima za magari na mfumo wa uendeshaji kwa biashara hii ya magari ya mchanga ,Dump Trucks !!
Back
Top Bottom