kuna anaependa kutoa mimba...!hakuna wangu ila yanini kukizaa kiumbe cha wa2 kije kiteseke duniani...?sio kwamba ckutaka kuzaa na mtoto nilipenda ila ckutaka ateseke!
kwajinsi nlivofuatilia huyo msichana ni gal tu ambae anakaa nae kitaa Mbezi ila nikimwambia am 4 funny anasema hayupo kiivyo...nashindwa kuelewa ni nn hasa kinamchanganya maana hasomeki....!
anampenzi nyumbani kwao ila kila 2kigombana anaomba msamaha 2narudiana na nimetoa mimba yake kwani nmeona hatuna future ila nampenda sana hyu mwanaume...kitandani najitahidi kumpa kile anachostahili kwani nmefundwa kwetu Tanga na anasema nampa kile anataka ila bado haachani na hyo msichana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.