Recent content by touch on

  1. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Wale ambao sijawajibu Pm wasihisi kuwa nawadharau .ila mpaka sasa kuna massage zaidi ya 40 za watu tofautitofauti sasa napata wakati mgum kuzijibu zote . Hivyo wawe na subira Sent using Jamii Forums mobile app
  2. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Kwasasa bado sijaelewana na mtu japo pm wapo wengii ila kuna kitu nataka uelewe ni kuwa. Mimi bado inatakiwa niendelee kusoma kwani matokea yangu ya kidato cha nne ni mazuri . Na baba alinizuia nisiendelee mpaka nitakapoolewa kwani kusoma vyuo hivi ambavyo watu wapo huru ni mtihan. Hivyo...
  3. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Kuna baadhi ya watu wanaendelea kuhofu ila mimi niwaambie yafuatayo. = kama ikitokea ukaombwa hata mia basi jua mimi ni muongo na nitapeli. = kama ikitokea nikakwambia tukutane eneo tofauti na nyumbani kwetu ujue mi muongo na nitapeli. Kwa ufupi ni kuwa tukikubaliana sitahitaji namba yako wala...
  4. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Nilijiunga Jf mwakajana baada ya kumaliza kidato cha nne ila nilichogundua wasichana wanasumbuliwa saana humu . Nilikuwa nikimuangalia Faiza foxy ambae alisumbuliwa pamoja na kuwa ni mwanamke anaejiheshim mpaka akaanzisha uzi wa kuwa wanaotaka kumtongoza wamtongoze hadharani . Nikijiangalia mimi...
  5. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Labda nimalizie kwa kutoa maelezo ya mwisho baada ya hapa sitaongea bali nitakuwa natoa muendelezo wangu kuanzia kutafuta mchumb mpaka kuolewa. Kwanza siwez kumuaminisha mtu asilimia mia moja kuwa mi ni msichana na sio mvulana. Hivyo nitaacha wanaopotosha kuwa mi mvulana waendelee na...
  6. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Itakuchukua muda kuelewa ukweli . Embu jaribu kufuatilia message zangu ukiwa unafikiria utagundua sehem kubwa nikama natania na sipo serious . Sent using Jamii Forums mobile app
  7. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Nitakujibu usijal japo najua watu ambao ni wabaya hawaamin wanakaa kuwaza vitu vya kijinga.Nidanganye kwa manufaa ya nani ? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Hakuna utapelii . Huenda unadhani labda kunatapeli. Nikuhakikishie kuwa hautaombwa hata mia mbovu we kama uko serious kariib Sent using Jamii Forums mobile app
  9. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Sikiliza katika uislam bab ndie walii wa ndoa. Yaan ndie anaeniozesha kwa mume nimpendae . Hivyo anajukum kubwa saana juu yangu. Mfano mimi hata nikitokea kumpenda mwanamume kisha nikamueleza Baba halafu Baba akaona hajaridhika na tabia ya huyo anaetaka kunioa anahaki ya kukataa na ndoa haiwez...
  10. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Katika sheria ya dini yangu ya kiislam mwanamke hatakiwi kukaa faragha na mwanamume ispokuwa awepo mtu mwingine ambae ni mahariim yaan haruhusiwi kumuoa . Ndio maana nikasema ni lazima niwe na kaka ili usijenishawishi ujinga . Sent using Jamii Forums mobile app
  11. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Sawa we mkweli . Nashkuru Sent using Jamii Forums mobile app
  12. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Namba sitoi . Nikirudhika nawewe nakupa namba ya Baba yangu uongee nae kama uko seruous na sitawasiliana nawe sehemu faragha isipikuwa nyumbani na lazima tuwe na kaka yangu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Mi muislam Sent using Jamii Forums mobile app
  14. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Sijazaa na sijawahi kuwa na mwanamume katika mahusiano . Kuhusu umri nadhani ushafikia nahofia nikizidi kukaa bila kuolewa nitazinii Sent using Jamii Forums mobile app
  15. touch on

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Hayaa umeelewekaa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom