Recent content by totoh

  1. T

    Ajira za kumwaga light dream organizatiom

    wewe ni muhusika?na kama ndio unawahakikishiaje wat kwamba si utapel coz matapel wamekua wengi
  2. T

    Ajira za kumwaga light dream organizatiom

    mshahara wanasema ni 220.000
  3. T

    Ajira za kumwaga light dream organizatiom

    jaman huku shinyanga nimekuta kuna NGO inaitwa light dream org(lido) imetangaza ajira 260 wasim amiz wa wilaya,kata,wa mitaa tu wanaitajika 200.fomu wanasema ni bure lkn ukifika fomu imeandikwa inaitajika 2000 ya usajil na 4000 ya kitambulisho jaman kunamtu anaijua hii NGO na shart ulipe pesa...
  4. T

    Serengeti breweries mwanza

    wat wengine bhana.sasa mtu kaomba msaada kuhusu serenget we unaleta mambo ya huyo Rachel.kwel mbulu...
  5. T

    Serengeti breweries mwanza

    Naomba msaada kwa yeyeto mwenye habar kuhusu serenget brew,mwanza kwan kuna watu tulifanya interview department ya stores and engineering tuliopita tukapewa stakabadh zote mpaka medical checkup tukaenda.kisha tuliambiwa tusubir kusing contract tu imepita miez zaid ya mi nne kimya.kama kuna...
Back
Top Bottom