Well, mfano asubuhi hupenda kula chai chapati/mandazi/vitumbua mchana ugari samaki japo siwapendelei sana most hua napenda dagaa na mboga za majani pia usiku mala nyingi hula wali japo hua malanyingi hua sipendelei kula usiku
Kama kichwa kinavyo jieleza,
Natafuta msaada jinsi ya kuongeza mwili pamoja na uzito maana kila siku nazidi kukonda pia kupungua uzito ili hali nakula kama kawaida na siumwi chochote.
Msaada tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.