Naona kama umeacha kimoja,kitambi kinakuwa juu juu utafikiri mimba changa ! hicho ni kwa wale wapiga masanga za kienyeji (pombe za kienyeji zozote twende)
Kama ni ivo,atangaze zmbbwe iingie kwny utawala wa kifalme kama kwa malkia elizabeth,kwnn asijilinganishe na kina nyerere,na akina kaunda...umri ukienda sana na akili nazo zinachoka,unachotaka ni kupumzika na kulala tu...swali la mwandishi wa habr zuli yy amejibu kibabe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.