Recent content by tonyz

  1. tonyz

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Kuwen kama tgo hawana mambo ya masaa 24 mb zako zkiisha unaruhusiwa kujiunga tena ata menu ya tigo ya tigo pesa unaweza kununua vifurush ukiwa ktk menu weken hii huduma mtufurahishe wateja wenu.
  2. tonyz

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Kwanini vifurushi vya internet visiwe kama vocha??ukitumia mb zikiisha ujiunge tena sio mpaka masaa 24??
  3. tonyz

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Tupo Kibaigwa Dodoma internet iko slow mno had inaboa mbona mnazidiwa na tigo tuboresheen huduma.
Back
Top Bottom