Recent content by tonyto

  1. T

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    Na hili litabaki kuwa funzo kwa serikali ya CCM kama wanasikia au wamo hmu JF wajue kabisa watanzania wamechoka ubabaishaji wao hali ya maisha inazidi kuwa ngumu kila kukicha kila kitu na kibovu kisa watu wachache wanatukost wote....hongereni Chadema mapambano bado yanaendelea
Back
Top Bottom