Zanzibar haina tofauti na somalia,isipokuwa hapa kuna amani
1. Barabara ni mbovu,miundo mbinu ya barabara haifai
2. Miji ni michafu sana
3. Wakazi wengi ni masikini wanaishi zile nyumba za kizamani choo kimoja watu 20
4. Watu hawana uwezo wa hata kumudu mlo wa nyama ya ngombe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.