Nimeficha baadhi ya vipande Kwa sababu maaalumu..
Ahsante Kwa kuonesha nia ya kutaka kunisaidia.ila nimehadithia yaliyo moyoni.Kumbuka wengi hatuna watu wa kuwahadithia hasa mambo yahusuyo familia.Kitu kinachoitwa mtandao ni kikubwa..Angalia story zote za humu za haya mambo kama zinaishia mwisho!!
Nimekumbuka ...nilivyokuwa natembelewa na vitu Dr mmoja aliwahi niambia...Ila nilipona Kwa mtumishi mmoja hivi..Sasa hivi anawafuasi wengi.Nilenda kujaribu na mm ile Hali iliisha yaani wadudu waliruka fyuuuu nikawaona wanapasukaa...
Nimeweka my story...wale wenye mtazamo wa kiyakinifu waje na wakidhanifu.Nimeficha vingi sna.Hivyo nitaheshimu mawazo ya Kila mmoja!!Anayesema ninaumwa akili nitayaheshimu mawazo yake na Anayesema kurogwa nitayaheshimu...Sijaelezea mengi sana nikieleza nitajianika. Nimeandika ilo kutua mzgo...
Wandugu sipingani na wanasayansi kuwa ni magonjwa ya akili..Ukweli usiopingika ni ugonjwa wa akili.Nami niilitumia tiba hospital...ila mara mwisho tulipoenda tuliambiwa tutafute njia nyingine pia..Kwani nilochomwa sindano ya usingizi na sikulala!!
Na nilielezwa nina hofu ..Ila nikitathmini...
Hahaha... sijawahi muelewa..thoo walikuwa makabila tofauti...Tulikuwa kukutana chuo na Mangi Kila mtu na hamsini zake ..Nw ni fundi bomba..Injinia mkubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.