Mnadhimu mkuu jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania Luteni Jenerali Salum Haji Othmani ,amewataka askari wapya waliohitimu mafunzo ya awali ya kijeshi katika shule ya mafunzo ya RTS Kihangaiko kutokujihusisha na vikundi vya ushawishi wa vyama vya siasa,matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii...
Si vyema sana kuuuliza maswali ya aina hii. Na wala usitegemee mtu mwenye akili timamu akakujibu kiuhalisia. Tunajua kuna tatizo la ukosefu wa ajira ila vijana si vyema kukimbilia nafasi za majeshi kwa kufuata vyeo na mishahara. Kama unapenda jeshi, tafuta nafasi upate ukachokitapata ndicho...
Mostly kwenye written ni taaluma yako, hata kwenye oral ni taaluma ingawa sio kwa muda mrefu. Unapimwa vitu vingi pale, kwenye taaluma unaweza ukaulizwa kiswali kimoja then unaambiwa uende
Usaili Magereza ni oral na written kwa wenye taaluma. Na vipimo vingine kama ilivyo kawaida ya majeshi. Baadhi ya vijana wameanza leo, kesho usaili utaendelea.
Kuna vigezo vilivyoangaliwa hadi hao vijana wakaitwa kwenye usaili. Kama mtu hajaliona jina lake si vyema akapoteza muda kwenda Dodoma. Halafu pia nafasi si nyingi. Hivyo hao vijana walioitwa wachache ndo watapata nafasi
MT usaili bado haujafanyika na wala hakuna watu wanaofanya usaili. Wapo kwenye hatua za mwisho kabisa za kukamilisha vijana watakaokua shortlisted then waitwe Dodoma, Makao Makuu kwa ajili ya usaili.
MT bado mchakato unaendelea kwa wale walioomba nafasi wenye taaluma zilizotajwa. Nadhani mwisho wa mwezi huu wa sita au mwanzoni mwezi wa saba mchakato utakamilika.
Hao waliopo msata ni wenye diploma. Wenye degree wapo Monduli wanapiga kozi ya cadet.. kiujumla walikusanywa wote mwaka jana, wakaapa pale Makutupora. Wenye degree wakenda cadet (baada ya kufanya kozi fupi ya awali) then hao wa diploma wakaenda Msata. So watakapoajiriwa jeshini watafuata...
Sahihi. Ukiachana na wanajeshi waajiriwa wanaoenda Monduli kufanya kozi ya Uafsa jeshini. Kuna wale wanaofanya kozi fupi then wanaenda monduli moja kwa moja mfano Proffesionals (kama Madaktari na Engineers waliopo Monduli hivi sasa).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.