Recent content by TOANGOMA NDIO KWETU

  1. T

    Kikwete: Elimu ya Sekondari itakuwa bure kuanzia 2016

    mwaka 2010 chadema ilivyo sema elimu bure mkasema haiwezekani leo hii mumeona maji yamefika shingoni mnasema elimu bure ama kweli maccm yamevurugwa.
  2. T

    Prof. Tibaijuka: Nijiuzulu kwa lipi?

    Kiongozi viongozi wa Tanzania hawajui umuhimu wa neno kuwajibika ndio maana wanatoa maneno yasiyo ya stahaa kwa viongozi wa umma.
  3. T

    Waziri agaragazwa uenyekiti wa mtaa

    Wanaanza kumalizana wenyewe na bado kufika mwaka 2015 ccm itakuwa katika historia ya kwamba kulikuwapo na chama kilitwa ccm.
  4. T

    Kwa ubunifu huu wa CHADEMA, CCM itasambaratishwa kirahisi sana!

    Kamanda kwa mtazamo wangu naona maccm yanazidi kujikanyaga wakisahau kuwa CDM ndio chama makini katika kuaandaa mikakati ya ushindi. Kiongozi naomba unisaidie kama naweza kupata video yake ya tukio zima la harambee mkuu sikufanikiwa kuangalia.
  5. T

    Tuhuma nzito kwa Abbas Mtemvu mbunge wa Temeke-CCM

    Wamezoea kuchakachua kwenye kura za uchaguzi na sasa wameona wachakachue hata kwenye masuala ya urembo kweli watanzania kazi tunayo
  6. T

    Abood Jumbe hali tete, alazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Mkuu huyo jamaa anajua kuwa mzee Jumbe ni muumini wa serikali 3 ila kwakuwa macccm mengi yamejitoa ufahamu mpaka kufikia kusahau historia yatupasa tuya samehe bure macccm ni majangaaaaaaaaaaaa
  7. T

    Lowassa ashauriwa asigombee urais

    Mimi binafsi siipendi ccm kama kinye....... lakini siungi mkono mbinu zinazo tumika na wana ccm kumkashifu huyu mzee mfano ni huyu makondaaaa ananiudhi sana kwani yule mzee ni kama baba yake kama sio babu yake. Lakini pia najiuliza mtoa maada uelewake mdogo sana kwani tangu nimekuwa mkubwa...
  8. T

    Mrisho Mpoto atangaza nia kugombea ubunge Ubungo Atamng'oa Mnyika?

    Mpoto anajisumbua ubungo ni ngome ya CDM daima na kwakuwa yeye ni gamba akae mbali na hapo
  9. T

    Mama Tibaijuka unayajua haya ndani ya Kata ya Toangoma

    Kusema kweli Mama yetu huyu hayupo kwenye njia ambayo watanzania wengi nikiwamo mimi tuliitalajia mfano pia kuhusu mjimpya wa kigamboni sasa kaja na singo kwamba kila mwana nchi atakatwa 10% ya fidia yake ili anunue hisa za mji utakao jengwa. Najua yeye ni Pro. ila mimi na uelewa wangu huu...
  10. T

    Mama Tibaijuka unayajua haya ndani ya Kata ya Toangoma

    Mkuu nimetimiza wajibu ili akinyuti na sisi wananchi tukichukua hatua kali kwa hawa majangili wa ardhi asihamaki
  11. T

    Maandamano ya Kumuunga mkono Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar

    Mimi naamini ni shujaa kwa Wazanzibar na Watanganyika pia
  12. T

    Mama Tibaijuka unayajua haya ndani ya Kata ya Toangoma

    Kiongozi nimetoa taarifa hii kwa Mama Tibaijuka kwa kuamini yeye ni waziri mwenye dhamana hiyo ila kuhusu urais naomba usimuoteshe mama wa watu ndoto ya mchana. Kama alikuwa ana ndoto hiyo amulaumu sana mama Anne Makinda kwani ndiye kafunga milango ya akina mama wengi kupewa nafasi za juu baada...
  13. T

    Mama Tibaijuka unayajua haya ndani ya Kata ya Toangoma

    kweli kabisa mkuu na sasa wamekuja na njia mbada wanauzia watu maeneo ya mabonde na wazi na kugonga mihuri feki ya mitaa mingine kama kibonde maji ndio tunaendeleea kufuatilia kuangalia ni kwa kiasi gani muhuli wa mtaa mwingine utumike.
  14. T

    Mama Tibaijuka unayajua haya ndani ya Kata ya Toangoma

    KUUZWA KWA MAENEO YA WAZI Kwanza natanguliza hesima zangu za pekee kwako wewe mama yangu mpiganaji. Mh. Kumekuwa na malalamiko ya mda mlefu kuhusu viongozi wa mitaa hiyo kuhusu kuhusika katika utapeli wa kuwauzia watu maeneo ya wazi katika viwanja vya kupima vya serikali. Wenyeviti hawa wamekuwa...
  15. T

    Mama Tibaijuka unayajua haya ndani ya Kata ya Toangoma

    KUUZWA KWA MAENEO YA WAZI Kwanza natanguliza hesima zangu za pekee kwako wewe mama yangu mpiganaji. Mh. Kumekuwa na malalamiko ya mda mlefu kuhusu viongozi wa mitaa hiyo kuhusu kuhusika katika utapeli wa kuwauzia watu maeneo ya wazi katika viwanja vya kupima vya serikali. Wenyeviti hawa wamekuwa...
Back
Top Bottom