Recent content by Timoth1234

  1. T

    PSRS mtaua vijana mtaani, toeni ajira

    Mkuu vp uliwakanda au walikukanda
  2. T

    PSRS mtaua vijana mtaani, toeni ajira

    Sasa hii si hatari sana
  3. T

    PSRS mtaua vijana mtaani, toeni ajira

    Yaani kuna Uzi nimepitia humu Jobless wapo tayari kutoa 20% ya mshahara wake kwa miaka 2 ili tu apate kazi, daah jamani mtatua jobless tupeni kazi jamani daah Utumishi mtaua vijana mtaaani. Mitaji ya Biashara hatuna umri unaenda dira hakuna
  4. T

    Interview za TRA zinakaribia soon naomba msaada jamani nondo za tax management officer

    Msaada wadau maaana sielewi ni guse wapi navurugwa tu hapa mwenye idea jamani naomba masaada maeneo ya kugusa ili nisipishane na keki ya TAIFA hii TRA huko
Back
Top Bottom