Recent content by timmysan

  1. timmysan

    INAUZWA Automatic gate motor (mashine ya kufunga/kufungua geti)

    Karibu upate huduma ya Automatic gate motor. Hiki ni kifaa maalumu kinachofunga na kufungua geti kwa remote au simu. Inakua na battery kwaajili ya kuhifadhi umeme endapo ikitokea dharula umeme umekatika itaendelea kufanya kazi. Gharama yake ni 1,750,000/= tu vifaa pamoja na ufundi...
  2. timmysan

    Hivi kwanini Africa isiungane tuwe moja? Mbona litakuwa jambo zuri mno!

    Haina shida, kwakua mchakato mzima utafanyika online nadhani hata ukiwa Lebanon bado unawezashiriki vizuri pamoja na watu wengine kutokea popote ambao watapenda kua sehemu ya mpango huu
  3. timmysan

    Hivi kwanini Africa isiungane tuwe moja? Mbona litakuwa jambo zuri mno!

    hahahah wewe usijitoe hapo kumbuka ndio uliebeba wazo( maono hayo) unatakiwa kua msatri wa mbele coordinate huu mpango na kuusimamia mwanzo mwisho tushirikiane
  4. timmysan

    Hivi kwanini Africa isiungane tuwe moja? Mbona litakuwa jambo zuri mno!

    Haina shida lakini nadhani nahitaji wadau wenye nia na dhamira ya dhati kushirikiana nao kuendesha website iyo, ili ikishatengenezwa kuwe na mwendelezo wa watu wenye mawazo na fikra chanya za kuelimisha watu kupitia makala zitakazoandaliwa.
  5. timmysan

    Hivi kwanini Africa isiungane tuwe moja? Mbona litakuwa jambo zuri mno!

    Nadhani kuna haja ya kuelimisha jamii yetu na vizazi vijavyo kujitambua na kuelewa umuhimu wa muungano Africa huenda siku za mbeleni mabadiliko yakatokea hata kama sio kizazi chetu cha sasa lakini watoto au wajukuu zetu watafaidika na muungano huu
  6. timmysan

    Hivi kwanini Africa isiungane tuwe moja? Mbona litakuwa jambo zuri mno!

    Ni wazo zuri sana na sio mara ya kwanza kulisikia nakumbuka hara Marehemu Bob Marley Aliimba Africa Unite. Tatizo ninaloliona mimi ambalo ndio kikwazo cha kuungana Africa ni uchu wa madaraka kwa wengi wa viongozi wetu, kama wote wangekubali kukaa chini na kuweka makubaliano mazuri na mifumo...
  7. timmysan

    Graphics, Logo, Business card, Website Design.

    Je Unahitaji Logo kwa mahitaji ya Kampuni, Shule, Taasisi au Biashara yako? Tunadesign Logo kaika ubora wa kipekee kwa gharama nafuu kuazia 40,000. Wasiliana nasi kwa simu namba 0656917171 au 0756917171. Tembelea website yetu kuona baadhi ya kazi zetu
  8. timmysan

    Graphics, Logo, Business card, Website Design.

    Kwa mahitaji ya huduma za grapgics, website design na Video shooting wasiliana nasi Simu: 0656917171 website: www.believetech.co.tz Tazama baadhi ya kazi zetu kwenye website yetu na usisite kutupigia tushauriane nawe kulingana na mahitaji yako
Back
Top Bottom