Duh!!! kazi ipo kweli kuelimisha jamii. nchi nyingine raia wao wanapiga kura japokuwa hawapo inchini mwao je hawareflect jamii yao? Hivi unaweza kusema hivyo kweli kipindi hichi cha utandawazi?
Sherehe ilkuwa ni ya kupongeza wabunge , haihusiani na hotuba ya Raisi bungeni. Shibuda pia alikwenda kuwaringishia CCM kwamba pamoja na kunichakachua kwenye kura za maoni na kutaka kunimaliza kisiasa bado nipo mjengoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.