Recent content by tigani gichomu

  1. T

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Je ni lini sisi wakazi wa chanika hasa maeneo ya Buyuni , Italian na Kigezi tutapata huduma yenu ya maji ya bomba??
  2. T

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Namba ya taarifa sina ila niliwapigia simu kwa kutumia namba yangu ya 0622011419 na wakaja kwenye tukio na kuahidi kuwa wataleta nguzo nyingine hadi leo hawajaleta
  3. T

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco ilala / kisarawe hapo kwetu chanika buyuni kwenye nyumba za pspf jirani na plot namba 14 block 33 hatuna umeme hii ni wiki ya tatu baada ya nguzo kuungua moto
Back
Top Bottom