Wadau natanguliza shukrani zangu za awali. Najaribu kuapply postgraduate UDOM cha ajabu system hairespond kabisa na hapo deadline ni 30th August.
Unapiga help desk hawapatikani na wachache wanaopatikana hawapokei.
Aliyewahi kukutana na chagamoto hii alifanyaje.
PS UDOM nao wapunguze maringo...
Wakuu mimi nimesoma bachelor of science with education, nina gpa ya 4.4 na kwa sasa niko mtaani nina duka la cosmetics.
Sasa wazazi wamenipa shavu kuwa niende masters nikajiendeleze wakati nafanya biashara zangu huku wakitafsiri kwamba ajira ya serikali itanikuta nikiwa kwenye haya mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.