Recent content by TIB RASILIMALI

  1. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania TIB Rasilimali: Jinsi ya kuchambua kampuni kabla ya kuwekeza

    Habari wakuu, Kabla ya kununua hisa za kampuni yoyote, ni muhimu kufanya uchambuzi wa kutosha ili kuelewa kama kampuni hiyo ina uwezo wa kukua na kutoa thamani kwa wawekezaji. Wawekezaji wengi huangalia bei ya hisa pekee, lakini mwekezaji mwenye uelewa huanza kwa kujiuliza: “Kampuni hii ina...
  2. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania TIB RASILIMALI: Hisa (Shares) na Hatifungani (Bonds) Zinafanyaje Kazi? Mwongozo kwa Wawekezaji Wapya.

    Habari wakuu, Kumekuwa na mwamko mkubwa wa uwekezaji nchini, ambapo watu wengi wameanza kuwekeza kwenye Hisa (Shares) na Hatifungani (Bonds). Hata hivyo, bado kuna maswali mengi kuhusu tofauti zake, faida, hatari zinazoweza kujitokeza, na namna ya kufanya maamuzi sahihi ya uwekezaji. Kupitia...
  3. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania Ratiba ya Magawio DSE 2026: NMB, Twiga Cement, DSE, Swissport na Mkombozi Bank

    Habari ndugu kawombe: ofisi zetu zipo Building number 3, Mlimani City, Dar es Salaam, Tanzania tunapatikana kwenye namba ya simu: 0754 232 035 jiunge na group letu la whatsapp: TIB RASILIMALI LIMITED Fuatilia page yetu ya mitandao ya kijamii kupata updates za soko: 1. Linkedin TIB Rasilimali...
  4. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania Mnada wa Hatifungani ya Serikali 13.25% Jumatano ijayo 24/06/2026 HUU HAPA (BOND 695 RE-OPENED)

    Unafikiria kuwekeza kwenye Hatifungani ya Serikali Tanzania? Mnada mpya wa Treasury Bond ya miaka 25 unatarajiwa kufanyika tarehe 24 Juni 2026. Hatifungani hii ina kiwango cha riba cha 13.25% kwa mwaka, na kiwango cha chini cha kushiriki ni TZS 1,000,000. Hii ni fursa kwa wawekezaji...
  5. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania Ratiba ya Magawio DSE 2026: NMB, Twiga Cement, DSE, Swissport na Mkombozi Bank

    Unawekeza kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE? Hii hapa ndiyo ratiba ya magawio yanayotarajiwa kulipwa kwa wanahisa wa kampuni zilizoorodheshwa DSE. 24 Juni 2026 • NMB Bank: TZS 610.15 kwa kila hisa 30 Juni 2026 • Twiga Cement: TZS 300 kwa kila hisa • DSE: TZS 69 kwa kila hisa, gawio la...
  6. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania Dalali wa Soko la Hisa la Dar es Salaam: Kazi Zake na Wajibu Wake

    Uwekezaji katika Soko la Hisa la Dar es Salaam unahitaji mwongozo sahihi, akaunti rasmi ya uwekezaji, na dalali mwenye leseni. Dalali ndiye kiungo kati ya mwekezaji na soko. Kupitia dalali, unaweza kununua na kuuza hisa, kuwekeza kwenye hatifungani za Serikali, kupata taarifa za soko, na kupata...
  7. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania NMB Yapendekeza Share Split ya 1:10. Fursa Mpya kwa Wawekezaji wa Soko la Hisa Tanzania?

    Katika hatua inayoweza kubadilisha kabisa mwonekano wa hisa za NMB kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), Bodi ya Wakurugenzi wa NMB Bank Plc imependekeza mgawanyo wa hisa (Share Split) wa uwiano wa 1:10, ambapo hisa moja ya kawaida itagawanywa kuwa hisa 10 za kawaida. Pendekezo hilo...
  8. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Hongera sana, hakikisha sasa umehakiki taarifa zako ili kupata gawio lka Haraka. ili kutambua namna gani ya uhakika jiunge na webinar yetu wiki hii tukiwa na mkufunzi kutoka CSDR kam opuni tanzu ya DSE inayofanya kazi ya kutoa magawio kwa niaba ya makampuni yaliyoorodheshwa. ili usi pitwa na...
  9. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania ETF ni nini? Fahamu Fursa Mpya ya Uwekezaji kwenye Masoko ya Hisa Tanzania

    Masoko ya hisa Tanzania yanaendelea kukua na kutoa fursa mpya kwa wawekezaji wa rejareja na taasisi. Zamani, watu wengi walizoea kuwekeza moja kwa moja kwenye hisa za kampuni kama CRDB, NMB, Vodacom, TBL, TCC, DSE, TPCC na kampuni nyingine zilizoorodheshwa kwenye Dar es Salaam Stock Exchange...
  10. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania Mkombozi Commercial Bank Plc Yatangaza Gawio la TZS 100 kwa Hisa

    Mkombozi Commercial Bank Plc imetangaza gawio la TZS 100 kwa kila hisa kwa wanahisa wake kwa mwaka wa fedha ulioishia tarehe 31 Desemba 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kampuni, gawio hili limeidhinishwa na Bodi ya Wakurugenzi, na wanahisa wanapaswa kuzingatia tarehe muhimu...
  11. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa kujisajili na kutumia hisa kiganjani

    1. Utangulizi Hisa Kiganjani ni mfumo wa kidijitali wa Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) unaomwezesha mwananchi kuwekeza katika masoko ya mitaji kwa kutumia simu ya mkononi, kompyuta au huduma ya USSD. Kupitia mfumo huu, mwekezaji anaweza kufungua akaunti ya CDS, kufuatilia uwekezaji wake...
Back
Top Bottom