Hakika mada ni mzuri na tukifanyia kazi yote nilozungumza bas tutapt matokeo mazr na ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi utaongezeka na maendeleo yataongezeka katika Jamii na nchi.
Hakika dear, Nashukuru kwamba umefurahishwa na andiko langu makala ni mzuri katika kuchochea maendeleo natumai utaweza kushare kwa wengine Ili pia wapate kujifunza kupitia makala hii
Ndio katika sera hizo ni lazima haki itizamwe kwani bila ya kuwepo kwa haki na usawa itakuwa hakn sera imara hivyo ni wajibu kuangalia sera zote zinafuata usawa na haki
Utangulizi
Siasa ni mchakato wa kufanya maamuzi na kuunda sera ambazo zinahusisha utawala na usimamizi wa jamii. Hujumuisha shughuli kama vile uchaguzi, utoaji wa sera, na ushiriki wa wananchi katika mchakato wa maamuzi. Uongozi ni uwezo wa kuongoza na kusimamia watu au jamii kuelekea kufikia...
Kila mtu anahaki na wajibu ya kulinda chakula kuwa safi na kuhakikisha chakula ni salama kwa mtumiaji. Hakika wazo zuri sana natumai yakifanyia kazi haya bas madhara na maradhi yatapungua kwa kiasi kikubwa sana. hongera kwa Kaz mzr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.