kwa wale waliokuwa interested wanaendelea na discussions on how make an idea great and this coming weekend are meeting for the first time..all is good ahead
Kilichotokea katika hili ni ameingia mkataba na mchina huyu kama mwekezaji ambapo ni uwekezaji wenye thamani ya 8bn. Katika uwekezaji huo kitajengwa kiwanda kitakachokuwa kinazalisha bidhaa zinazosambazwa na kampuni yake ya Kidoti.
Kuna wengi wana wasiwasi na utapeli..ila jambo la kutilia maanani ni kwamba members ndio tutakaokuwa na jukumu la kuzuia hili,kila mmoja atapewa jukumu. Haya yote yatatekelezwa baada ya kufahamiana na kukutana..hili jambo ni kubwa kukulikeleza kwa kutumia mitandao
Wi_Fi na Everlenk jambo hili vision na the way foward haliwezi amuliwa na kupangwa na mtu mmoja, hao 45 ndio watakaopanga yote ili kuanzia siku ya kwanza inaitajika wote tuwe kwenye page moja..nimesema 45 kwakuwa limited company mwisho 50,jambo ambalo members wakitaka zaidi litafanyika
Katika jukwaa hili nimeona na kujifunza mengi..kitu ambacho naona na ambacho kipi kwa wengi sio hapa JF tu ni uthubutu. Nchi zilizoendelea zimefika huko kwa watu wao kuwa na uthubutu, uthubutu wa kufanya kitu tofauti ambacho anaamini kitamtoa lakini hajiamini. Vijana wengi wanaamini bila hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.