Recent content by Thomas Lazaro

  1. T

    Grow and fly big books series (Utangulizi, Sehemu ya 1&2)

    SEHEMU YA PILI MIKAKATI YA KUKUZA BIASHARA Biashara yoyote yenye afya hupimwa kwa viwango vya ukuaji na unahitaji kujumuisha mikakati ifuatayo ili kuhakikisha kuwa biashara yako inakua; Ongeza thamani; kudumisha thamani ya bidhaa na huduma, wateja wataendelea kununua bidhaa na huduma zako...
  2. T

    Grow and fly big books series (Utangulizi, Sehemu ya 1&2)

    SEHEMU YA KWANZA SURA YA KWANZA ANZISHA, SIMAMIA NA KUENDELEZA BIASHARA YAKO MAANA YA BIASHARA Biashara; Ni shughuli yoyote inayofanywa kwa makusudi ya kupata faida, inaweza kuwa uuzaji wa bidhaa, au uuzaji wa huduma. Mfano wa bidhaa ni kama magari, simu, nguo, vyakula, nk huduma; ni kama...
  3. T

    Grow and fly big books series (Utangulizi, Sehemu ya 1&2)

    mtaji wa kwanza ni elimu juu ya fedha maana unaweza kupata fedha alafu bado ukashindwa kutoka kimaisha vile vile. you better invest in education first and the money will be following the course
  4. T

    Grow and fly big books series (Utangulizi, Sehemu ya 1&2)

    sio lazima anunue kitabu kama hana pesa ya kununua kitabu anaweza kupata mfululizo wa makala hii kwa kufuatilia mfululizo wa kitabu hiki kila wiki.
  5. T

    Grow and fly big books series (Utangulizi, Sehemu ya 1&2)

    UTANGULIZI Kutokana na kukua kwa tatizo kubwa la ajira miongoni mwa vijana na familia nyingi duniani, imepelekea watu kuchanganyikiwa ni nini cha kufanya. Watu wote siku hizi wanahaha kutafuta ajira ambayo imekua adimu sana na hivyo kuwafanya watu ambao akili zao na mawazo yao yameelekezwa...
Back
Top Bottom