Recent content by theWarrior1

  1. theWarrior1

    Hongera Mathew Kilama kwa Kuteuliwa kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma

    Ni huzuni sana, pia wengine tulitaarifiwa kuwa rufaa zetu zilifanyiwa uamuzi toka kikao kilichopita kilichoisha Mwezi wa 11, ila mpaka leo hatujapokea Barua unaelekea Mwezi wa 3 huu toka kikao kilipokwisha. Hao waliolalamika vipi mpaka sasa wameshapokea Barua zao?
Back
Top Bottom