Recent content by Thesmartphone class

  1. Thesmartphone class

    Ninaomba msaada wamawasiliano ya kata ya Upanga

    Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu nimekuja humu ndani nikiomba msaada wa mawasiliano ya uongozi wa kata ya Upanga mashariki Kwasababu niliacha nyaraka zangu pindi nilipokua huko Dar. Sasa naomba mawasiliano ili niweze fahamishwa kua nazipata vipi?
  2. Thesmartphone class

    Jifunze kutangaza biashara yako na Facebook ads kupitia app ya simu yako

    Habarini wapendwa Kama kichwa Cha huu uzi kinavyojieleza kuhusu Facebook ads. Kwahivyo sisi tumeamua kukufundisha hii huduma kwa kupitia video zitakazo rushwa via WhatsApp messenger. Huduma itatolewa kwa gharama ya Tsh 1000/= na kutukua na full technical support. Napatika kwa WhatsApp no-...
Back
Top Bottom