Haya mabadiliko yameniijia ghafla ndo maana nashangaa[emoji1] [emoji1] ,
Lakini haina jinsi na Mimi nimeona kabisa naukaribia uzeee inabidi nikubaliane na hali
Nilipakua hii app nikavamia zoezi kwa siku ya kwanza mbona kesho yake ilikuwa hata kunyanyua mkono mmoja tu shida,mwili wote ulikuwa unaumwa kama nini, ila nashukuru nimeanza kuyazoea kidogo kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.