Recent content by thelostnuts

  1. T

    Naombeni ushauri wenu nifanyeje niweze kurudisha umbo langu la zamani

    Haya mabadiliko yameniijia ghafla ndo maana nashangaa[emoji1] [emoji1] , Lakini haina jinsi na Mimi nimeona kabisa naukaribia uzeee inabidi nikubaliane na hali
  2. T

    Naombeni ushauri wenu nifanyeje niweze kurudisha umbo langu la zamani

    Nilipakua hii app nikavamia zoezi kwa siku ya kwanza mbona kesho yake ilikuwa hata kunyanyua mkono mmoja tu shida,mwili wote ulikuwa unaumwa kama nini, ila nashukuru nimeanza kuyazoea kidogo kidogo
  3. T

    Naombeni ushauri wenu nifanyeje niweze kurudisha umbo langu la zamani

    Umenipa moyo kumbe inawezekana kabisa, nitaanza diet, mazoezi, na kula vyakula pendekezwa nadhan nami nitafanikiwa, shukrani
  4. T

    Naombeni ushauri wenu nifanyeje niweze kurudisha umbo langu la zamani

    Sawa lakini si kubweteka tu natakiwa kujishughulisha angalau ili hali isiwe mbaya zaidi
Back
Top Bottom