Sijajua mfumo unaosemea ww ni upi ila kama ni hii niliyokutana nayo ya ku apply kwenye system kisha majina yaitwa mkafanye usahili wa face to face, huko ndio 'koneksheni' inapopata nafasi, nina mifano mingi tu maana sahili nyingi nilikwenda na watu ninao wafahamu kama classmates etc, and trust...
Mfumo wa Ajira Nchini kwetu umeshindikana kabisa hasa kwa tusio na Koneksheni kabisaa!
Mfano: nimewahi kuitwa kwenye interview nyingi tu za serikalini ila zote zinafanywa kwa ushahidi tu ili wale wasahili walipwe kwa kupoteza muda wetu.
Viongozi wanakazia eti vijana mjiajiri wanasahau kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.