thanks dear...hivi niwaulize watu wa mungu..bado kuna watu wanaamini unaweza kulogewa virusi vya ukimwi...kwa macho yangu nimekutana na familia moja..yani mtu anaumwa anakataa kwenda hospital,akalazimishwa akapelekwa kwa nguvu na akapimwa na kugundulika kuwa ni positive then ndugu waliompeleka...
okay...unapokua positive kuna idadi ya virus ambao uko nao..ndio maana wanakupa dawa ili kuwapunguza/kuwafifisha wanakua counted...ukiingia ndani sana wanasema unaweza ukawa na virus ambao ni jinsia moja kama ni male or female so mfano ukiwa nao wote means watakua wanazaliana...but ukiwa nao wa...
wapo humu wengine ..walikuja nilipowatosa wanabadili tu account..sasa mtu atabadili account ngapi kuweni na amani mim once am done...imekwisha..ninaplatform nyingi ambazo hata hao watu wapo na ninawaona mishe mishe zao but once ninapokua huko i do my business..na ni wachangiaji wazuri...
yes...mimi ni mfano hai...my viro load are undetected..kiasi kwamba nilipima juzi kazi dispensary wakaniambia sina virusi...nikachukua majibu huku nacheka...nadhani na kipimo chao kilikua kibovu..ndio maana wanasema test 3 times...if nimeenda na mtu si anajua niko okay...complicated
wadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.