Recent content by The WatchDog

  1. T

    Kabla ya Kuwashtaki kwa "Uhujumu Uchumi" Wachawi Wetu; Swali hili Serikali ilijibu kwanza..

    Mwana Kijiji Maswali yako mazuri LAKINI baya zaidi nui pale unapompiga marufuku asikanyage hat mitaani. Hela zake umzime na marufuku ya kukudai umpe. Huu ni ubabe uliopitiliza mipaka. Kama ni kuwafungulia mashtaka ya uhujumu uchumi wasaliti basi orodha ni ndefu. Tutaje baadhi: 1. Baba wa taifa...
  2. T

    Askofu Bagonza amepotosha kuhusu Maasi ya Jeshi la Tanganyika mwaka 1964. Asahihishe alichopotosha

    Askofu alisema wazi kuwa Mwalimu aliulizwa tukio lililomuudhi na lililomfurahisha. Mwalimu akataja maasi ya jeshi. Mimi naona Askofu hajakosea popote kwa sababu iwe ni waingereza au WaNigeria kama wanavyosema wengine, ukweli unabaki kuwa jeshi letu lilikataa amri ya rais na kutii amri ya mgeni...
  3. T

    Askofu Bagonza: Mwaka 2015 hatukuchagua malaika kutuongoza bali binadamu dhaifu. Ukiitwa Dhaifu usikasirike, haujakamilika

    Kila wakati huyu Askofu anapotajwa, Yehodaya huwa anakuwa mkali sana. Itabidi Yehodaya atueleze ana bifu gani naye.
  4. T

    Askofu Bagonza amepotosha kuhusu Maasi ya Jeshi la Tanganyika mwaka 1964. Asahihishe alichopotosha

    Mahojiano ya Mwalimu yanasema tofauti na usemayo wewe. Pia kitabu kimoja kimerekodi kama askofu alivyosema.
  5. T

    Tujikumbushe ya RC Makonda: Tunaelekea Kuchelewa kuchukua hatua

    Mkuu wa Mkoa wa DSM kaz indua operesheni maalum ya kuwaondoa wahamiaji haramu ndani ya "Mkoa wake". Inaitwa "PEKENYUA TUKUFUKUNYUE". Ni vema tukajikumbusha bila ufafanuzi operesheni na hatua mbalimbali za makonda tangu ateuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa wake wa DSM. 1. Kumshtaki hadharani Mkurugenzi wa...
  6. T

    Kukomoana kwa kufukua Makaburi katika Awamu Mbalimbali

    Watu wasiojua historia ya utawala hapa Tanzania, utawasikia wakisema kuwa awamu hii ya tano imezidi kwa kufukua makaburi ya Jakaya Kikwete na kumdhalilisha. Lakini kihistoria, kila awamu ilifanya hivyo na kwa hiyo hata hii ijiandae kufukuliwa makaburi yake. Tujikumbushe kwa ufupi: Awamu ya...
  7. T

    Ansbert Ngurumo: Magufuli’s way of causing problems and proposing solutions explains his meeting with businessmen at Ikulu

    Sasa hapa umemsaIDIA JPM au ndo umethibitisha anayosema Ngurumo? Kwa sababu haya anayosema Ngurumo, kama hawezi kuyasemea hapa ina maana kweli JPM ni dikteta na ndiyo maana "anatengeneza tatizo na kisha analitatua mwenyewe".
  8. T

    Askofu Bagonza: Tuna idadi ya kutisha tena ya watu wenye madaraka wanaodhani ujinga unamalizwa kwa vifungo, kuteka, kutunga sheria kali

    MBONA UNATOKA NJE YA MADA? UNAMJUA HUYU ASKOFU KWELI? MBONA NASOMA HIYO LINK YA MWANANCHI NA SIONI UNACHOSEMA?
  9. T

    Chunya, Mbeya: Rais ataka Tume ya Utumishi wa Mahakama ilete jina la Hakimu aliyemhukumu mlawiti ili apendekezwe kuwa Jaji

    Ungesema ndiye aliyeandika ile Ruling ya Kiswanglish. Ataweza kweli huyu kuandika Ruling za high court
  10. T

    Kangi Lugola atarajiwa kuvunja rekodi ya kuhudumu kwa muda mfupi Wizara ya Mambo ya Ndani , Nani kutwaa nafasi yake?

    Kuna Kiongozi wa dini siku za karibuni alisema mfumo wa elimu unazalisha vilaza na vilaza hao wanapewa madaraka
  11. T

    Kangi Lugola atarajiwa kuvunja rekodi ya kuhudumu kwa muda mfupi Wizara ya Mambo ya Ndani , Nani kutwaa nafasi yake?

    Nadhani ni vema tukaorodhesha makosa ya Kangi ili tuone hata sisi kama inafikia kiwango cha yeye kujiondoa au kuondolewa. Mfano nianze: -Kuingilia kazi za IGP kwa kufukuza makamanda na kuhamisha makamanda -Kumdhalilisha CAG ambaye kikatiba ni jicho la bunge, jicho la wananchi na mdhibiti wa mali...
  12. T

    Askofu Bagonza: JWTZ ni Jeshi la Wananchi, si Jeshi la Watawala wala Viongozi!

    Mbwembwe nimepitia post ya huyo Askofu wako sijaona aliposema Jeshi si la wananchi. Mbona alikuwa ananukuu maneno ya mwalimu kwenye kumbukizi lake? tusipotoshane. post ya Askofu inamhusu mwalimu aihusiani na jeshi.
  13. T

    Askofu Bagonza amepotosha kuhusu Maasi ya Jeshi la Tanganyika mwaka 1964. Asahihishe alichopotosha

    Joka Kuu nadhani hata mimi nakuunga mkono. Huyu anapotosha hoja ya Askofu. Nimejaribu kumsoma Askofu na kumsoma huyu, sioni anapopotosha Askofo. Tena mimi naona huyu ndiye anataka kuingiza mambo ambayo hayamo katika ujumbe wa Askofu. Askofu ameandika kumbukizi la Mwalimu katika siku ya kuzaliwa...
  14. T

    Askofu Bagonza: JWTZ ni Jeshi la Wananchi, si Jeshi la Watawala wala Viongozi!

    Wewe Ecolizer ni mchochezi. Unachukua maneno mawili unayakuza ili kushibisha tamaa yako. Askofu amemkumbuka Mwalimu katika siku yake ya kuzaliwa, wewe unakimbilia kuchochea tu. Hata mimi nimefurahi kujifunza kitu katika kumbukizi hii nzuri. Inanifanya nimuelewe Baba wa Taifa kwa mapana zaidi...
  15. T

    Askofu Bagonza: JWTZ ni Jeshi la Wananchi, si Jeshi la Watawala wala Viongozi!

    Hata wakati wa Baba wa taifa JWTZ ilitaniwa kuwa ni JESHI LA WAKURYA TANGU ZAMANI:-)😁:D
Back
Top Bottom