Ipo Toyota Mark II GX 110 Limited ya 2004. Rangi peal, 1980CC, Odometer reading todate 106000. Haijawahi kupata ajali yoyote. Inatumika kwa safari fupi matumizi ya kawaida kifamilia,.engine haijawahi kuguswa na fundi zaidi ya kubadilisha oil. Body is well kept. Minimum price.is 10M only. Kwa...
Nimesoma hii kitu moyo unaniuma sana, kama ni kweli, basi inasikitisha sana kuona kwamba bado tuna viongozi ambao mpaka sasa hawajui maudhui ya UKAWA. Kweli ni mbaya kuliko. Tunaomba viongozi wetu CDM ngazi za juu washughulikie hii issue kwa haraka ili kuendelea kutujengea imani juu ya UKAWA...
Ndugu una matatizo gani mbona unaturudisha nyuma tena, sisi tuko kwenye hatua nyingine ya kufanya mapinduzi ya kweli ila wewe wataka tuanze kufikiria matatizo. Tulia tumalize kumng'oa mkoloni halafu baadaye toa hoja zako. Kwa sasa tuko busy kwahiyo hatukuelewi kabisa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.