Kwan watanzania tulikuwa hatufanyi kaz wakat hizo siasa zikifanyika!!? me nadhani MTU ambaye anashughulika na siasa mda wote huenda hiyo ndio kaz yake!! mwalim nyerere alisema siasa na kazi!! akiwa na maana hivi Vitu havitengani!!
Hongera Maalim!! ila naona km ccm wanapoteza mda ili siku za kurudia uchaguzi zifike.... Sioni ni nani wa kumtangaza yy mshindi wakat uchaguzi Zec walishaufuta!! Nafikiri kwanza Cuf wangemtaka m/kiti wa Zec atengue kauli yake na baada ya hapo ndio kuwe na subra ya nan atatangazwa kama mshindi!!!
Kuna vikao muhimu vya chama wiki hii Sasa katibu mkuu wa chama kuwa likizo ktk kipndi hiki ni ishara ya kutotaka kushiriki hivyo vikao au Ndio alivyoamua kupumzka kipnd hiki!!? Ni vizur kama hayo aliyosema mh Mbowe yakabaki hivyo na kusiwe na agenda nyingine ya siri kwa mh Dr Slaa kwan watawapa...
haya Ndio matatizo ya kutokuwa na tume huru ya uchaguz... Ila tujitahidini kupata wabunge wengi wa ukawa huenda ikawa chachu ya kuleta mabadiliko ktk bunge lijalo na kupelekea kupata katiba mpya ambayo itaondoa madaraka makubwa ya rais.
Nawaunga mkono wanaotetea maslah ya taifa kwa nia ya. dhati na sio unafki. Kwa nn kuna uharaka wa usomwaji wa hiyo miswaada!!? Kwa nn hapatotewi uwigo mpana wa kuijadili hiyo miswada!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.