Recent content by The teller

  1. T

    Kauli ya serikali bungeni kuhusu mlipuko

    kwa nini mnamshikilia dereva boda boda ambaye hata hakujua waliomkodi wanaenda kufanya nini kanisani na huku mnamtaja jina huku hao raia 4 wa saudi Arabia mnawaacha?
  2. T

    Mabuma akiri CCM inaweza kushindwa kurudi madarakani 2015

    watu wanaweza kuvumilia barabara mbovu lakini sio maisha yao kuwa rehani!
  3. T

    Mlengwa wa mlipuko alikuwa balozi wa Vatican?

    jamani mie naomba mwenye picha anitumie za majeruhi ili tuzione na tujue kiwango halisi cha maumivu haya ili tuombeane,
  4. T

    Kumbe Sheria Inaweza Ikatugwa Baada ya Adhabu Kutolewa

    Hapo hata mie nilishangaa sana unawezaje kumuhukumu mtu wakati kanuni haipo halafu unaitunga baada ya adhabu? ikifika wakati wa kutungiana kanuni kwa lengo kumkomoa mtu fulani au kuua nguvu ya chama fulani sio balaa jamani!
Back
Top Bottom