Recent content by The Phylosopher

  1. T

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Rais Samia ni balaa. Aondoka uwanjani kimyakimya kwa mwendo wa kikomandoo bila kuzungumza neno lolote

    Uuleshe ubhupukupuuku Mwashambwa woni umwalangani injele ngati zya bhakwebha njemu
  2. T

    JamiiForums Tanzania CCM chini ya Samia ni maadui wa Nyerere nadhani wanatamani kumfuta uanachama. Hizi ni baadhi ya nukuu zisizofanana kabisa

    Haha bahati nzuri hua ukweli una tabia ya kujipigania
  3. T

    JamiiForums Tanzania CCM chini ya Samia ni maadui wa Nyerere nadhani wanatamani kumfuta uanachama. Hizi ni baadhi ya nukuu zisizofanana kabisa

    Nukuu hizi za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni shahidi wa wazi wa jinsi genge la watawala lilivyogeuka na kuasi misingi na maono ya mwanzilishi wa taifa letu. Kwa kulegeza ulinzi wa Katiba na kupanda mbegu za nidhamu ya woga, kikundi hiki kimejenga ubaguzi mkubwa wa kitabaka—kikitengeneza...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Hiyo bima ya afya ya taifa NHIF ni ubabaishaji na usanii mtupu, yaani wanachukua hela ila magonjwa na vipimo kibao havimo kwenye hiyo bima

    Yaani serikali inasisitiza bima ya afya kwa wote lkn kusema kweli hii bima ya afya ya sasa ni shida tupu maana ukienda hospitali na ukaenda bila fedha unaweza usitibiwe Yaani ukienda hospitali hauna hela ya matibabu unategemea tu kikadi cha bima utarudi nyumbani na bima yako na haujatibiwa...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Kiliba: Wanaharakati na wakosoaji tajeni pia mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia

    Well Asante sana kiriba Mwizi akikuibia elfu laki moja akakununulia simu ya elfu 30 Wewe kwa uelewa wako utamshukuru sio!?
  6. T

    JamiiForums Tanzania Naomba mwenye ushahidi na orodha ya matusi ambayo Lissu amewahi kumtukana Rais ayaweke hapa ili tusaidiane kumkanya, nimeyatafuta sana siyaoni

    Wako wapi wakina mwashmbwa tlaatlaah nawataka mlete matusi ya lisu
  7. T

    JamiiForums Tanzania Naomba mwenye ushahidi na orodha ya matusi ambayo Lissu amewahi kumtukana Rais ayaweke hapa ili tusaidiane kumkanya, nimeyatafuta sana siyaoni

    Nilitegemea hawa wanaoshinda humu kumuita lisu mtukanaji wawe tayari wameshaorodhesha matusi yote ili tusaidiane kumkanya lisu maana kwa maadili yangu na malezi yangu kibinafsi sipendi kabisa matusi
  8. T

    JamiiForums Tanzania Naomba mwenye ushahidi na orodha ya matusi ambayo Lissu amewahi kumtukana Rais ayaweke hapa ili tusaidiane kumkanya, nimeyatafuta sana siyaoni

    Kila mara nawasikia watu wanasema lisu anastahili anachopitia kwa sababu alimtukana Rais, ila kiukweli nimesikiliza hotuba zake na kusoma machapisho yake mbalimbali, sijawahi kukutana na tusi labda kama matusi siyajui vizuri basi kwa kuwa JF tuna utajiri wa kila namna hebu wajuvi wa mambo...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Mradi wa 4r ndio mradi aliofanya vibaya kuliko miradi mingine yote. Ndiye Rais atakayeiacha nchi vipandevipande haijapata kutokea

    Ni changamoto sana yaani kuna mambo ukitafakari unaona kabisa nchi yetu ni ngumu sana kuna namna taifa limepotea njia
  10. T

    JamiiForums Tanzania Mradi wa 4r ndio mradi aliofanya vibaya kuliko miradi mingine yote. Ndiye Rais atakayeiacha nchi vipandevipande haijapata kutokea

    Tatizo la ccm ni chama kilichojihami sana kwa hiyo hata mahali kimekosea kitasimamia hayo makosa mpaka mwisho
  11. T

    JamiiForums Tanzania Mradi wa 4r ndio mradi aliofanya vibaya kuliko miradi mingine yote. Ndiye Rais atakayeiacha nchi vipandevipande haijapata kutokea

    Ni kweli mwisho upo lkn kabla ya mwisho kuna maisha hapa katikati
Back
Top Bottom