Yaani mtu amekabidhiwa TBC, chombo cha habari kikubwa halafu kwenye kuaga baada ya kukalia kiti miaka 10 anashukuru hakutumbuliwa na anaenda mbali zaidi eti anawananga wabaya wake hivi kweli? Mtu wa level ya Ryoba!?
Kwa dhamana aliyokuwa nayo kwa Taifa na usomi wa kuitwa 'Dr' inawezekana kweli...
Kwa msingi na kwa asili yake dini inapaswa kujiepusha na jambo lolote lenye uonevu na uovu na kusema bila kupepesa macho
Na ilitakiwa kuwa kando na ushabiki wowote ibaki imenyooka tu
Ili penye nyeupe iite nyeupe na penye nyeusi iite nyeusi
Lkn kwa hali ilivyo sasa inatisha sana
Maana hata...
Kwa hali ilivyo kwa sasa inaonyesha ni dhahiri dini imetekwa na siasa. Kwa maneno mengine ni kwamba wanasiasa wameamua kwa nguvu sana kuitumia dini kutimiza adhma zao za kisiasa.
Dini imekuwa kipofu imevaa miwani ya giza kwa kadri ya kushindwa kuona kabisa uovu wa kutisha ulioko siasani.
Kwa...
Wewe kama akili zako ziko timamu kabisa kichwani kwako hapa tanzania kuna wahaini? au hujui hata maana ya uhaini!?
Huyo mbowe tuliambiwa gaidi la kimataifa baadae tukakuta gaidi amekunja nne ikulu hata kama kusoma hujui ONA hata picha bas
Karne
Karne hii ya 21 ni ujuha kushabikia mambo kuendeshwa kijanjajanja na ndio sababu hawa mawakili wetu zikija kesi za kimataifa tunanyolewa kipumbavu sana
Ni lazima tubadilike kesi inyooke kama mtu wa kuhukumiwa kesi iendeshwe ahukumiwe full stop
Anasaidiwa na kuwekwa na mfumo huku wanufaika wakijitahidi kwa kila hali kuhakikisha anabaki madarakani ili waendelee kupiga maisha kwa mgongo wa mama.
Nimepita mikoa mitano TANZANIA
Sijabahatika kukutana na mtu anayemuongelea vizuri mama
Hao wanomkubali nawaonaga kwenye tv tu.
Kwa hoja yako hii ni kama unasema ni sahihi tu raia wa taifa lingine kwenda kutawala taifa lingine maadamu maendeleo yapo
Kama ni hivyo kwa nini tuliwafukuza wakoloni?
Tatizo sio kuvunja muungano ila muundo wa muungano uliopo ni wa kijanja janja hauna uhalisia
Unavunjaje nchi mbili alafu zinabaki mbili?
Kwa nini zisiunganishwe iwe nchi Moja kama Nia ipo?
Hauoni vyama vy
Kwani huoni vyama vyote vimelazimika kuweka wagombea wazanzibari na karibia wote huku Tanganyika hatuwajui na kuna uhakika kwamba hata vyama vyenyewe vimewaweka basi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.