Nukuu hizi za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni shahidi wa wazi wa jinsi genge la watawala lilivyogeuka na kuasi misingi na maono ya mwanzilishi wa taifa letu. Kwa kulegeza ulinzi wa Katiba na kupanda mbegu za nidhamu ya woga, kikundi hiki kimejenga ubaguzi mkubwa wa kitabaka—kikitengeneza...
Yaani serikali inasisitiza bima ya afya kwa wote lkn kusema kweli hii bima ya afya ya sasa ni shida tupu maana ukienda hospitali na ukaenda bila fedha unaweza usitibiwe
Yaani ukienda hospitali hauna hela ya matibabu unategemea tu kikadi cha bima utarudi nyumbani na bima yako na haujatibiwa...
Nilitegemea hawa wanaoshinda humu kumuita lisu mtukanaji wawe tayari wameshaorodhesha matusi yote ili tusaidiane kumkanya lisu maana kwa maadili yangu na malezi yangu kibinafsi sipendi kabisa matusi
Kila mara nawasikia watu wanasema lisu anastahili anachopitia kwa sababu alimtukana Rais, ila kiukweli nimesikiliza hotuba zake na kusoma machapisho yake mbalimbali, sijawahi kukutana na tusi labda kama matusi siyajui vizuri basi kwa kuwa JF tuna utajiri wa kila namna hebu wajuvi wa mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.