Recent content by The Phylosopher

  1. T

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla, hakunaga National Sovereignty kwenye kutenda uhalifu!

    Nimemshangaa sana mayalla uue watu maelfu alafu useme wasikuingilie!? Ili uendelee kuua kwa uhuru!! Ingawa tukipigwa spana itatubana sie wa kawaida lakni walau ujumbe uwafikie Halafu kufananisha mazingira ya siku na nyakati za Nyerere na huyu mama ni kumuonea kabisa Naomba Pasco awe serias...
  2. T

    JamiiForums Tanzania IGP Mstaafu Mahita: Jeshi la Polisi la Sasa linaingiliwa na Wanasiasa

    Hivi huyu ndo alikamataga visu na mapanga ya kaf!?
  3. T

    JamiiForums Tanzania Ili kuitetea Serikali ya CCM ya sasa unahitaji kuwa muongo sana na usie na hata chembe ya aibu!

    Serikali yetu chini ya CCM imegeuka kuwa kituko cha Karne yaani wanadiriki kudanganya kusema uongo na kupiga propaganda ambazo nadhani hata shetani anakaa kuwashangaa.!
  4. T

    JamiiForums Tanzania Gerald Hando: Matukio kwenye ziara za Waziri Mkuu yanaonesha kufeli vibaya kwa system. Mbaya zaidi hatatui tatizo la msingi

    Akizungumzia ziara za waziri mkuu jinsi watu wanavyojitokeza kwa wingi na matatizo wanayoywasilisha kwa waziri mkuu. Mtangazaji huyo wa redio anasema hii inaonyesha wazi kwamba system zimefeli kushighulika na changamoto za watu na kwa bahati mbaya sana anachofanya waziri mkuu hakitibu tatizo...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Soma Ujumbe Mzito wa Barack Obama Juu Ya Kuwaheshimu Askari Wetu Waliojitolea Sadaka Maisha yao kwa Ajili ya Taifa Letu Ambao Hatuwezi Kulipa Deni

    Nakupinga mwashmbwa police ni ajira kama zilivyo ajira zingine wanalipwa mishahara na waliomba hiyo kazi na wengine waliipata baada ya kutoa rushwa na upendeleo kama wote kwa hiyo wewe unaiona ya maana kwa kuwa tu jukumu lao ni kulinda system
  6. T

    JamiiForums Tanzania Badala ya kutengeneza kina Drogba wa kwetu wenye dhamana wanagombea kupiga naye picha naona aibu!

    Waswahili wana msemo wao kwamba usione vyaelea ujue vimeundwa Ukweli ni kwamba nakereka sana kuona uongozi wa nchi yetu uko bize kupiga picha na Drogba raia wa ivory. Ni lini na sisi tutatengeneza wa kwetu ili tuache ulimbukeni wa kushabikia na kushobokea wa wenzetu?
  7. T

    JamiiForums Tanzania Katikati ya crisis ya mafuta ambayo hatujui tunatokaje tunateketeza mamilioni ya Lita za mafuta kukimbiza mwenge

    Ikiwa rais alisema anapunguza milolongo ya misafara yake ili kubana matumizi ya mafuta huu mwenge unakimbizwa kutumia nishati gani? Ni kwa nini katika kipindi cha crisis kama hiki tuendelee kufuja pesa za wananchi kulipia mwenge?
  8. T

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa ni kwa nini watu kutoka upinzani wakihamia CCM wanapewa vyeo haraka sana tena vikubwa!

    Nimelazimika kujua baada ya kusoma sana thread wanazofungua ccm humu ndani mwanzo nilikuwa sizizingatii ila nilipozingatia nikagundua najisumbua kupambana na mazwazwa
  9. T

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa ni kwa nini watu kutoka upinzani wakihamia CCM wanapewa vyeo haraka sana tena vikubwa!

    Kwa kuwa unawajua na wanajulikana wataje tu ili tuwafahamu mbona povu
  10. T

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa ni kwa nini watu kutoka upinzani wakihamia CCM wanapewa vyeo haraka sana tena vikubwa!

    Kwa hiyo kwa kusema hivi unakubali kuwa huku upinzani ni kiwanda cha kujenga hoja ila ccm hakuna muda huo.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa ni kwa nini watu kutoka upinzani wakihamia CCM wanapewa vyeo haraka sana tena vikubwa!

    Kwani wapinzani ni chadema peke yake huku si ndo kukaririshana kwenyewe Hebu nitajie maajent hao
  12. T

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa ni kwa nini watu kutoka upinzani wakihamia CCM wanapewa vyeo haraka sana tena vikubwa!

    Wanabodi kumekuwa na utaratibu licha ya ccm kujigamba kwamba Ina rasilimali watu ya kutosha lakini inaonekana watu smart sana wanapatikana upinzani. Mwanzo nilijua tu kuwa labda ni kivutio cha kuwashawishi wapinzani wengi kuhamia huko ila baada ya kuona jinsi mashabiki wa ccm wanavyojenga hoja...
Back
Top Bottom