Nimemshangaa sana mayalla uue watu maelfu alafu useme wasikuingilie!?
Ili uendelee kuua kwa uhuru!!
Ingawa tukipigwa spana itatubana sie wa kawaida lakni walau ujumbe uwafikie
Halafu kufananisha mazingira ya siku na nyakati za Nyerere na huyu mama ni kumuonea kabisa
Naomba Pasco awe serias...
Serikali yetu chini ya CCM imegeuka kuwa kituko cha Karne yaani wanadiriki kudanganya kusema uongo na kupiga propaganda ambazo nadhani hata shetani anakaa kuwashangaa.!
Akizungumzia ziara za waziri mkuu jinsi watu wanavyojitokeza kwa wingi na matatizo wanayoywasilisha kwa waziri mkuu.
Mtangazaji huyo wa redio anasema hii inaonyesha wazi kwamba system zimefeli kushighulika na changamoto za watu na kwa bahati mbaya sana anachofanya waziri mkuu hakitibu tatizo...
Nakupinga mwashmbwa police ni ajira kama zilivyo ajira zingine wanalipwa mishahara na waliomba hiyo kazi na wengine waliipata baada ya kutoa rushwa na upendeleo kama wote kwa hiyo wewe unaiona ya maana kwa kuwa tu jukumu lao ni kulinda system
Waswahili wana msemo wao kwamba usione vyaelea ujue vimeundwa
Ukweli ni kwamba nakereka sana kuona uongozi wa nchi yetu uko bize kupiga picha na Drogba raia wa ivory.
Ni lini na sisi tutatengeneza wa kwetu ili tuache ulimbukeni wa kushabikia na kushobokea wa wenzetu?
Ikiwa rais alisema anapunguza milolongo ya misafara yake ili kubana matumizi ya mafuta huu mwenge unakimbizwa kutumia nishati gani?
Ni kwa nini katika kipindi cha crisis kama hiki tuendelee kufuja pesa za wananchi kulipia mwenge?
Nimelazimika kujua baada ya kusoma sana thread wanazofungua ccm humu ndani mwanzo nilikuwa sizizingatii ila nilipozingatia nikagundua najisumbua kupambana na mazwazwa
Wanabodi kumekuwa na utaratibu licha ya ccm kujigamba kwamba Ina rasilimali watu ya kutosha lakini inaonekana watu smart sana wanapatikana upinzani.
Mwanzo nilijua tu kuwa labda ni kivutio cha kuwashawishi wapinzani wengi kuhamia huko ila baada ya kuona jinsi mashabiki wa ccm wanavyojenga hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.