Recent content by The Phylosopher

  1. T

    Lile lililosemwa kwamba ni andiko la Rioba mbona ni kama la 'Mwajuma Ndala Ndefu' akimnanga 'Chausiku' kwa kumchukulia bwana

    Yaani mtu amekabidhiwa TBC, chombo cha habari kikubwa halafu kwenye kuaga baada ya kukalia kiti miaka 10 anashukuru hakutumbuliwa na anaenda mbali zaidi eti anawananga wabaya wake hivi kweli? Mtu wa level ya Ryoba!? Kwa dhamana aliyokuwa nayo kwa Taifa na usomi wa kuitwa 'Dr' inawezekana kweli...
  2. T

    Tanzania: Siasa imeiteka dini

    Kwa msingi na kwa asili yake dini inapaswa kujiepusha na jambo lolote lenye uonevu na uovu na kusema bila kupepesa macho Na ilitakiwa kuwa kando na ushabiki wowote ibaki imenyooka tu Ili penye nyeupe iite nyeupe na penye nyeusi iite nyeusi Lkn kwa hali ilivyo sasa inatisha sana Maana hata...
  3. T

    Tanzania: Siasa imeiteka dini

    Kwa hali ilivyo kwa sasa inaonyesha ni dhahiri dini imetekwa na siasa. Kwa maneno mengine ni kwamba wanasiasa wameamua kwa nguvu sana kuitumia dini kutimiza adhma zao za kisiasa. Dini imekuwa kipofu imevaa miwani ya giza kwa kadri ya kushindwa kuona kabisa uovu wa kutisha ulioko siasani. Kwa...
  4. T

    Hukumu ya kosa la uhaini kwa mujibu wa sheria ni kufungwa kifungo cha maisha, kunyongwa hadi kufa au vyote kwa pamoja

    Wewe kama akili zako ziko timamu kabisa kichwani kwako hapa tanzania kuna wahaini? au hujui hata maana ya uhaini!? Huyo mbowe tuliambiwa gaidi la kimataifa baadae tukakuta gaidi amekunja nne ikulu hata kama kusoma hujui ONA hata picha bas
  5. T

    Lissu awasilisha maombi kwa hati ya dharura Mahakama ya Rufani

    Karne Karne hii ya 21 ni ujuha kushabikia mambo kuendeshwa kijanjajanja na ndio sababu hawa mawakili wetu zikija kesi za kimataifa tunanyolewa kipumbavu sana Ni lazima tubadilike kesi inyooke kama mtu wa kuhukumiwa kesi iendeshwe ahukumiwe full stop
  6. T

    Rais Samia aambiwe ukweli kuwa hakubaliki kabisa na wananchi?

    Anasaidiwa na kuwekwa na mfumo huku wanufaika wakijitahidi kwa kila hali kuhakikisha anabaki madarakani ili waendelee kupiga maisha kwa mgongo wa mama. Nimepita mikoa mitano TANZANIA Sijabahatika kukutana na mtu anayemuongelea vizuri mama Hao wanomkubali nawaonaga kwenye tv tu.
  7. T

    Moja ya jambo la ovyo sana kwenye huu Muungano wetu ni kuruhusu nchi ya watu million 63 washirikishane madaraka na kinchi kina watu milioni 1

    Jibu swali acha janja janja ni kwamba sisi tunajadili ubatili wa muungano wewe unaleta habari za pato la Brunei linahusikaje hapa?
  8. T

    Moja ya jambo la ovyo sana kwenye huu Muungano wetu ni kuruhusu nchi ya watu million 63 washirikishane madaraka na kinchi kina watu milioni 1

    Mbona hoja yako siielewi hapa tunajadili ubatili wa muungano wewe unaleta habari za Pato la mburunei
  9. T

    Moja ya jambo la ovyo sana kwenye huu Muungano wetu ni kuruhusu nchi ya watu million 63 washirikishane madaraka na kinchi kina watu milioni 1

    Kwani shule ndo ulifundushwa kwamba raia wa nchi nyingine anatakiwa akawe rais kwenye taifa lingine?
  10. T

    Moja ya jambo la ovyo sana kwenye huu Muungano wetu ni kuruhusu nchi ya watu million 63 washirikishane madaraka na kinchi kina watu milioni 1

    Kwa hoja yako hii ni kama unasema ni sahihi tu raia wa taifa lingine kwenda kutawala taifa lingine maadamu maendeleo yapo Kama ni hivyo kwa nini tuliwafukuza wakoloni?
  11. T

    Moja ya jambo la ovyo sana kwenye huu Muungano wetu ni kuruhusu nchi ya watu million 63 washirikishane madaraka na kinchi kina watu milioni 1

    Tatizo sio kuvunja muungano ila muundo wa muungano uliopo ni wa kijanja janja hauna uhalisia Unavunjaje nchi mbili alafu zinabaki mbili? Kwa nini zisiunganishwe iwe nchi Moja kama Nia ipo?
  12. T

    Moja ya jambo la ovyo sana kwenye huu Muungano wetu ni kuruhusu nchi ya watu million 63 washirikishane madaraka na kinchi kina watu milioni 1

    Hauoni vyama vy Kwani huoni vyama vyote vimelazimika kuweka wagombea wazanzibari na karibia wote huku Tanganyika hatuwajui na kuna uhakika kwamba hata vyama vyenyewe vimewaweka basi tu.
Back
Top Bottom