Tanzania Ina vituko vingi sana jambo ambalo kwa kawaida Linalohitaji logic ya kawaida kabisa mkuhoji watu wanalazimisha subirieni tume afu wanashabikia tume walioiunda wenyewe.
Hivi kweli akili ya kawaida haikutumi kwamba ni kama mbwa kujifucha kwenye shamba la karanga!?
Akili zingine mkuu zinaudhi sana yaani katiba iliyomuweka madarakani na inamfanya atende na kutendewa anavyotendewa kwa mujibu wa katiba hiyo anaita ni kijitabu tu!!!
Nchi Ina vichekesho vingi sana hivi inawezekanaje chama kimeweka ajenda ya mabadiliko ya katiba kwenye ilani yake ya uchaguzi alafu wakati huohuo makada wake wako bize kuipigia debe katiba iliyopo!?
Kwa nini wasifute tu kwenye ilani ili lijulikane Moja? Ni nani aliwalazimisha kuweka hicho...
Wakati wa uhai wake mwalimu Nyerere aliwahi kusema katiba tuliyonayo inawezesha kupata rais dikteta, alimaanisha kwamba kwenye katiba kuna matobo yanayoruhusu Rais kujiamulia mambo kwa kadri aonavyo.
Cha ajabu ni kwamba watawala waliopo hawayaoni kabisa hayo matobo badala yake wanatujazia...
Yaa uko sahihi yaani tunachopaswa kufanya sasa ni kureiz awareness kwa kizazi kilichopo kuwaambia katiba tuliyonayo ni hatari sana kwa usalama wa taifa
Ndio maana sishangai rais kuipigia debe hii katiba maana inamfanya awe kiumbe wa daraja la juu kuliko viumbe vyote Tanzania.
Yaani hawezi kushtakiwa akiwa rais au hata baada ya kustaafu haitajalisha amefanya maovu kiasi gani.
Kwa maneno mengine rais wa Tanzania anaruhusiwa kuvunja katiba...
Ulichojaaliwa ndugu mwashambwa ni kwamba wewe ni chawa aliyepitiliza
Warioba alishamkabili Nyerere pamoja na unyerere wake ilibidi awe mpole warioba alimkabili kikweta hadi kikweta akamteua mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba
Warioba hana sababu yoyote ya chuki na Samia. Warioba ni mwema...
Ulichojaaliwa ndugu mwashambwa ni kwamba wewe ni chawa aliyepitiliza
Warioba alishamkabili Nyerere pamoja na unyerere wake ilibidi awe mpole warioba alimkabili kikweta hadi kikweta akamteua mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba
Warioba hana sababu yoyote ya chuki na Samia. Warioba ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.