Recent content by The Phylosopher

  1. T

    JamiiForums Tanzania Inachekesha kuona wanaotuhumiwa kwa mauaji ya Oct 29 ndio hao pia mashabiki wakuu wa hizo tume mara ya Chande mara ya Lila

    Tanzania Ina vituko vingi sana jambo ambalo kwa kawaida Linalohitaji logic ya kawaida kabisa mkuhoji watu wanalazimisha subirieni tume afu wanashabikia tume walioiunda wenyewe. Hivi kweli akili ya kawaida haikutumi kwamba ni kama mbwa kujifucha kwenye shamba la karanga!?
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kama CCM imeweka kwenye ilani yake kipengele cha mabadiliko ya katiba ni cha nini kama kutwa kucha makada wao wako bize kuipigia debe katiba iliyopo!?

    Akili zingine mkuu zinaudhi sana yaani katiba iliyomuweka madarakani na inamfanya atende na kutendewa anavyotendewa kwa mujibu wa katiba hiyo anaita ni kijitabu tu!!!
  3. T

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Katiba, tuamini kauli ya Mwalimu Nyerere au Rais Samia?

    Katufikishaje hapa
  4. T

    JamiiForums Tanzania Kama CCM imeweka kwenye ilani yake kipengele cha mabadiliko ya katiba ni cha nini kama kutwa kucha makada wao wako bize kuipigia debe katiba iliyopo!?

    Nchi Ina vichekesho vingi sana hivi inawezekanaje chama kimeweka ajenda ya mabadiliko ya katiba kwenye ilani yake ya uchaguzi alafu wakati huohuo makada wake wako bize kuipigia debe katiba iliyopo!? Kwa nini wasifute tu kwenye ilani ili lijulikane Moja? Ni nani aliwalazimisha kuweka hicho...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Katiba, tuamini kauli ya Mwalimu Nyerere au Rais Samia?

    Wakati wa uhai wake mwalimu Nyerere aliwahi kusema katiba tuliyonayo inawezesha kupata rais dikteta, alimaanisha kwamba kwenye katiba kuna matobo yanayoruhusu Rais kujiamulia mambo kwa kadri aonavyo. Cha ajabu ni kwamba watawala waliopo hawayaoni kabisa hayo matobo badala yake wanatujazia...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Katiba ya Tanzania haimtambui rais kama binadamu wa kawaida inamuona ni 'mungu'

    Yaa uko sahihi yaani tunachopaswa kufanya sasa ni kureiz awareness kwa kizazi kilichopo kuwaambia katiba tuliyonayo ni hatari sana kwa usalama wa taifa
  7. T

    JamiiForums Tanzania Katiba ya Tanzania haimtambui rais kama binadamu wa kawaida inamuona ni 'mungu'

    Ndio maana sishangai rais kuipigia debe hii katiba maana inamfanya awe kiumbe wa daraja la juu kuliko viumbe vyote Tanzania. Yaani hawezi kushtakiwa akiwa rais au hata baada ya kustaafu haitajalisha amefanya maovu kiasi gani. Kwa maneno mengine rais wa Tanzania anaruhusiwa kuvunja katiba...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Napenda Kumjibu Mzee Warioba Ya Kuwa CCM Itaongoza Taifa hili Hadi Mwisho wa Dunia Na Ataicha ikiwa Madarakani. Aache Chuki Binafsi Kwa Rais wetu

    Ulichojaaliwa ndugu mwashambwa ni kwamba wewe ni chawa aliyepitiliza Warioba alishamkabili Nyerere pamoja na unyerere wake ilibidi awe mpole warioba alimkabili kikweta hadi kikweta akamteua mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba Warioba hana sababu yoyote ya chuki na Samia. Warioba ni mwema...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Napenda Kumjibu Mzee Warioba Ya Kuwa CCM Itaongoza Taifa hili Hadi Mwisho wa Dunia Na Ataicha ikiwa Madarakani. Aache Chuki Binafsi Kwa Rais wetu

    Ulichojaaliwa ndugu mwashambwa ni kwamba wewe ni chawa aliyepitiliza Warioba alishamkabili Nyerere pamoja na unyerere wake ilibidi awe mpole warioba alimkabili kikweta hadi kikweta akamteua mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba Warioba hana sababu yoyote ya chuki na Samia. Warioba ni...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Yaani CCM wakiwa na jambo lao hata kama ni la kutumbukiza nchi shimoni watashikamana na kulipigia debe hutajua yupi professor doctor au la saba

    Uongo uko wapi ndugu maana ccm huwa Ahadi ya mwanatanu ni kusema kweli daima fitina kwangu ni mwiko Unaamini kwamba hii bado ipo
Back
Top Bottom