Hayo maandamano pamoja na wao kutaka kuyahusisha na Chadema inashindikana. Hayo maandamano ya MO29 hayakuwa ni kiongozi.
Eti never again .... wakati tayri watu wamenyakuliwa....!!
Ni Jambo zuri kuleta Majaji kutoka nje.
Tatizo ni kuwa Tanzania imeziomba nchi husika kutokana na Urafiki wake na hizi nchi. Hata hapa wanaposema ni wa SADC and EAC siyo sawa kwa kuwa hawajaletwa na hizo jumuiya bali ni nchi zao binafsi. Kumaliza mzizi wa fitina waziombe SADC na ECA au AU waje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.