Recent content by The Khoisan

  1. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Mtu anaamua kuanzisha vikosi vyake, kutukana watu ila anaachwa tu

    Mwaipopo huyo. Laxima awekwe kwenye mstari huyu.
  2. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Labda wamemuona ni afadhari kuliko wale wengine 15.
  3. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Katambi: Oktoba 29 yaliyotokea kwao ilikuwa sherehe wakahamasisha watu wakawavutisha bangi na kuwapa viroba wakaingia barabarani

    Hayo maandamano pamoja na wao kutaka kuyahusisha na Chadema inashindikana. Hayo maandamano ya MO29 hayakuwa ni kiongozi. Eti never again .... wakati tayri watu wamenyakuliwa....!!
  4. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Katambi: Oktoba 29 yaliyotokea kwao ilikuwa sherehe wakahamasisha watu wakawavutisha bangi na kuwapa viroba wakaingia barabarani

    Hivi kama wanayajua hayo yote. Hizo tume xinaundwa kufanya kazi gani...!!? Yaani kila mtu akiwaza lake analitoa.
  5. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Amenaswa na maneno ya kinywa chake mwenyewe; Asema - Zanzibar hakuna "aliyenyukuliwa". Watanganyika "Tulinyukuliwa" kwelikweli...!!

    Yah tight. Report ya Chsnde imesema vitu vya ncha kali vilitumika.
  6. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Jerida Ngosha: Niliomba msamaha kwa makamu mwenyekiti ila msamaha haukutoka moyoni

    Kalishwa maneno tu huyo .... Sasa hiyo team iliyopo nyuma yake ni ya kazi gani....!!? Kwa nini asingeenda peke yake. Hizi pesa za ABDUL hizi....!!
  7. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mange Kimambi: kuna mpango wa kugawa CHADEMA utakaohusisha viongozi wakubwa wa CHADEMA, unapangwa na kuratibiwa na wanaCCM. Chama kipya?

    Huo mpango kama ni kweli utasaidia kuisafisha zaidi Chadema. Kuna makapi mengi yanayopunguza kasi ya Chadema.
  8. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Sasa ni dhahiri Awamu ya 6 imeipiku Awamu ya 5 kwa Unyama, Utekaji na Mauaji

    Hata walio uhamishoni number iimekuwa kubwa awamu hii kuliko wakati wowote.
  9. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Waliomimina rsasi wao hawamo kabisa kwenye ToR. Anyway, report ikitoka asiweke kwapani kama ile ya Chande.
  10. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Ni Jambo zuri kuleta Majaji kutoka nje. Tatizo ni kuwa Tanzania imeziomba nchi husika kutokana na Urafiki wake na hizi nchi. Hata hapa wanaposema ni wa SADC and EAC siyo sawa kwa kuwa hawajaletwa na hizo jumuiya bali ni nchi zao binafsi. Kumaliza mzizi wa fitina waziombe SADC na ECA au AU waje...
  11. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Uganda Kujenga Kiwanda Kikubwa Cha Kusafisha Mafuta Cha Trilioni 56 Tanga.

    IPO inafanyika kama kampuni iko listed. Hata hivyo hiyo pesa ni ndefu sana huwezi kuirase kwenye stock exchange zetu za Kiafrika. Hata JSE huwezi.
  12. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Twaha Mwaipaya: Tazama mgambo wakichukua nguo za machinga Kariakoo, hapo machinga akienda kuchukua mzigo wake faini laki 3

    Wametumwa kufanya hivyo ili wenye nchi akitangaza ZUIO wapate umaarufu. Kama kawaida yao. Wanatengeneza TATIZO halafu wanalitatua wenyewe.
  13. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Paul Chacha: Kuwanyima watu haki kunajenga tabaka baya katika jamii, chama kitahakikisha wanachama wake wanapata haki, uhuru na usalama

    Kwa hiyo wanajua hayo. Sasa mbona anawahakikishi tu wanachama wake .... vipi Watanzania wasiyo wana CCM!?
  14. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Uganda Kujenga Kiwanda Kikubwa Cha Kusafisha Mafuta Cha Trilioni 56 Tanga.

    Wanataka wakope tena ....!!
Back
Top Bottom