Tatizo lenu hampendi kukosolewa. Mnadhani nyinyi ni Malaika. Kama viongozi wetu wangekuwa perfect nchi yetu ingekuwa impiga hatua kubwa. Kiongozi kuwa na nafasi serikalini hakumfungi kutoa mawazo yake baada ya kutoka kwenye hiyo nafasi. Tatizo la CCM wameweka presidency mbaya ili kuficha maovu...
Hii article ndiyo inawezekana iliondoa bahati ya Dada mdogo. Si unajua tena, wanawake wa pwani huwa hawahawapendi ushindani kabisa.
Ukienda hapo chini Nambia, 55 % ya uongozi wa juu ni wanawake. Rais, Makamu na Spika ni wanawake. Bongo wanawake hawapendi kuona wanawake wenzao wanafanikiwa. Hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.