Recent content by The Khoisan

  1. The Khoisan

    CHADEMA acheni mara moja kuchangisha watu wakati tayari ACT wameshasema watagharamia msiba wa Hayati Bwege

    Kwani michango ya rambirambi ni kwa ajili ya maziko tu ....!!? Nyie MaCCM mna ROHO mbaya sana. Rambirambi ni kwa ajili ya WAFIWA.
  2. The Khoisan

    The matter concerning Lissu will be dealt with by the court accordingly

    Akili Matope hauwezi kuelewa.
  3. The Khoisan

    CHADEMA Yapinga Uteuzi wa Jakaya Kikwete ndani ya AU, Yataka Mapitio ya Haraka

    SAFI SANA. Charity starts at home. Sasa kama anashindwa kusuruhisha nyumbani atawezaje au anafaaje kusuruhisha majirani!!?
  4. The Khoisan

    Azim Dewji: Iran walitusaidia, ni muda wa kuwaunga mkono

    Na kondomu za kutosha miaka nenda miaka rudi. La sivyo wengine tungeshakuwa statistics.
  5. The Khoisan

    TANZIA Seleman Said Bungara (Bwege) afariki dunia

    Kweli kabisa Bwege alisimamia HAKI. Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi.
  6. The Khoisan

    Ninasikitishwa na kuumizwa sana ninapoona Sativa akitukana na kudhalilisha Viongozi wetu

    Ule UCHUNGUZI wa vifo vya ghafla vya viongozi wenu utaanza lini!?
  7. The Khoisan

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Tatizo lenu hampendi kukosolewa. Mnadhani nyinyi ni Malaika. Kama viongozi wetu wangekuwa perfect nchi yetu ingekuwa impiga hatua kubwa. Kiongozi kuwa na nafasi serikalini hakumfungi kutoa mawazo yake baada ya kutoka kwenye hiyo nafasi. Tatizo la CCM wameweka presidency mbaya ili kuficha maovu...
  8. The Khoisan

    Pongezi Spika Dkt. Tulia umeonesha uwezo na unaweza! Je, tumshauri Dada Mkubwa, ikimpendeza, ampishe Dada Mdogo kwenye lile jambo letu?

    Hii article ndiyo inawezekana iliondoa bahati ya Dada mdogo. Si unajua tena, wanawake wa pwani huwa hawahawapendi ushindani kabisa. Ukienda hapo chini Nambia, 55 % ya uongozi wa juu ni wanawake. Rais, Makamu na Spika ni wanawake. Bongo wanawake hawapendi kuona wanawake wenzao wanafanikiwa. Hii...
  9. The Khoisan

    Lissu awasilisha maombi kwa hati ya dharura Mahakama ya Rufani

    Nyie PAKA WA LUMUMBA MBA roho mbaya sana.
Back
Top Bottom