Recent content by The Great Rambo

  1. T

    Wanafunzi wa vyuo vikuu mkue jamani acheni utoto!!!

    Mmmh! Laptops tena? Mbona wabongo wabinafsi hivyo. Kwa nini wasilalamikie kitu kingine kwa manufaa ya wengi? Waalimu shule za misingi na sekondari hakuna, vitendeakazi hakuna na kama vipo basi hafifu na havitoshelezi. Matangazo ya HakiElimu yawakuze basi, Laptops...laptops!!! Mnunue mkianza...
  2. T

    Mi siwaelewi kabisa hawa HESLB

    Hivi hawa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu huwa wanazingatia vigezo vya wanaotakiwa kupata loan (mkopo) au vipi? Mbona failures wengi tu wana mkopo wakati wenye two zao wamechakachuliwa! Mi nakosa wa kumlaumu kabisa,ni Bodi au Serikali?
Back
Top Bottom