Hivi hii serikali mbona chizi sana eti alisema mambo ya richmond epa hatutasikia tena akati CAG Asaad alidai trilion1.5 hazijulikani pale hazina zimeenda wapi
Mkuuu umejitahidi kuleta tetesi ila hizi ni hisia tuuu kwa sasa ccm ni mkusanyiko wa wasaliti kutoka CDM kwaiyo sio mahali salama sanaaa kwa wanaccm pia wao wanajua upinzani tz huwezi kufa tangu tlp nccr sasa CDM na ACT ila kwa hili pigo ni baya sana naweza kabiri miaka10 ya upinzani ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.