Aliwezaje kuwasiliana na Chief Mkwawa? Kijiografia, Pangani na Iringa ni mbali sana. Kipindi kile hakukuwa na usafiri wa uhakika zaidi wa kumuwezesha Abushiri kutuma mtu au yeye mwenyewe kutoka Pangani kwenda Iringa kuonana na Chief ili kumpa taarifa za kiintelijesia juu ya uvamizi wa Wajerumani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.