Recent content by The Gavana

  1. T

    Historia ya Kaburi Abushiri bin Salim 1840 - 1889

    Aliwezaje kuwasiliana na Chief Mkwawa? Kijiografia, Pangani na Iringa ni mbali sana. Kipindi kile hakukuwa na usafiri wa uhakika zaidi wa kumuwezesha Abushiri kutuma mtu au yeye mwenyewe kutoka Pangani kwenda Iringa kuonana na Chief ili kumpa taarifa za kiintelijesia juu ya uvamizi wa Wajerumani
Back
Top Bottom