Habarini za mchana wana JF,
Hivi ni mimi peke yangu napata shida ya kununua umeme au ni tatizo na kwa wengine?
Nimekuwa nikihangaika kununua umeme tangu asubuhi lakini naambiwa mpokeaji amefungiwa (Airtel) na muamala wako haukukamilika (Tigo).
Msaada tafadhali kwa mwenye kufahamu juu ya hilo...
Jamani ndugu zangu wana JF!
Mimi ni muhanga wa maumbile madogo, pengine ni sababu ya life style yangu wakati wa ukuaji (nazungumzia kujichua sana) kwa sasa nina miaka 26 lakini maumbile yangu ni madogo mpka naona aibu hata kuwa na mahusiano, msaada kwa yeyote anaefahamu suluhisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.