Hapo makutu wamepima kama msata ila majibu ya vipimo bado na pia wa makutu watapelekwa msata na nadhani majibu ya vipimo yatarudi kwa pamoja(makutu + msata) na walio na shida ndo watasomwa UNFIT. Then wanaobaki ndo watapiga kozi.
Acha siasa kijana kwahyo hao wakujitolea wote wanakuaga Familia za kijeshi au😅😅....yani k2 kama hakijawa ridhiki yako basi lazima kiwe kigumu ila siku ikifikia Ata iweje lazima uzame chombon.
Hayo maneno yako tu watu wanaingia msata Ata siku 1 kabla ya kozi na wengine kozi ishaanza kabisaa inategemea una nani nyuma yako....Afu issue ya hao walioitwa mpaka sahv usitegemee ety kisa ulipeleka au ulituma maombi ndo utaitwa hiko kitu sahau yani hao wote walioitwa ni watu wenye mbanga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.