Recent content by THE BIG SHOW

  1. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    Mungu analipenda sana Taifa hili Ndiyo maana anazidi kutupa viongozi wazuri kama Rais Samia
  2. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    Ha ha ha Inashangaza mtu na akili zake timamu kumuamini mtu mwehu kama heche
  3. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    Sasa chadema wanakasirika nini??
  4. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    Friends and our enemies Hakika muda ni kitu pekee ambacho kinaweza kutoa majibu ya uhakika. Chadema siku zote imekuwa inakimbilia kwa kanisa kwenda kupeleka taarifa za uongo na chuki ili kutengeneza mpasuko na uvunjifu wa amani nchini. Lakini kama tujuavyo njia ya mwongo ni fupi,hila na uongo...
  5. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Tunakupongeza Sheikh Mwaipopo kwa uzalendo wako dhidi ya wavunjifu wa amani nchini

    Fanyeni hima mje tunawasubiri
  6. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Tunakupongeza Sheikh Mwaipopo kwa uzalendo wako dhidi ya wavunjifu wa amani nchini

    Kwani kuwasaidia kuna ubaya gan
  7. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Tunakupongeza Sheikh Mwaipopo kwa uzalendo wako dhidi ya wavunjifu wa amani nchini

    Wacha iwe hivyo... Kama mnataka kuichoma nchi fanyeni hima mje tunawasubiri
  8. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Tunakupongeza Sheikh Mwaipopo kwa uzalendo wako dhidi ya wavunjifu wa amani nchini

    Basi kama siyo uhalifu wewe njoo na jamaa zako kwa hoja ya kuichoma nchi Sisi wazalendo tupo tunawasubiri
  9. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Tunakupongeza Sheikh Mwaipopo kwa uzalendo wako dhidi ya wavunjifu wa amani nchini

    Friends and Our Enemies, Kauli alizozisema sheikh mwaipopo na za kuungwa mkono na kila mzalendo na mpenda amani wa taifa letu. Hakuna ubaya kabisa kama watu wanaopanga uhalifu kama walioufanya kipindi cha uchaguzi wakaachwa hivi hivi bila kuchukuliwa hatua. Tukikukumbuka tulikotoka wachochezi...
  10. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya 7/7 ni ya umma chini ya uratibu wa wanaharakati wapigania haki. Hata hivyo, tunayaunga mkono kwa sbb madai yao ni madai yetu

    Wahusike au wasihusike,atakaeleta fujo hiyo siku ya siku kuu asije kutoa lawama kwa yeyote.
  11. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Je kurudi nyuma kwa sukuma gang(Team JPM) kutaathiri mwitikio ya Maandamano 7/7?

    Hakuna fala wa kuandamana hapo
  12. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania CHADEMA baada ya kufeli kwa Vita yenu dhidi ya Tume ya Jaji Chande, Mmeamua sasa kuja na Maigizo yenu ya kutekana

    Hizo drama zenu za kifala zimefika mwisho sasa
  13. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania CHADEMA baada ya kufeli kwa Vita yenu dhidi ya Tume ya Jaji Chande, Mmeamua sasa kuja na Maigizo yenu ya kutekana

    Hiyo ni michezo ya kitoto sana Kavalishwa kanga hapo anauliza suruali yako iko wapi?anasema imenasa kwenye miba...wakati anapambana kutoka kichakani Kwann isinase hiyo flan yake inase suruali...hao mafala hizo movie zao zimeshafeli
  14. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania UTEKAJI: Ujasiri wa Bodaboda Umeokoa Uhai wa DJumbe, Funzo: Ujasiri Wetu Wote kwa Pamoja Utaokoa Wengi. Bodaboda Wapewe Tuzo.

    What if nikianza kukupelekea wewe kwanza mashine binti
Back
Top Bottom