Friends and our enemies
Hakika muda ni kitu pekee ambacho kinaweza kutoa majibu ya uhakika.
Chadema siku zote imekuwa inakimbilia kwa kanisa kwenda kupeleka taarifa za uongo na chuki ili kutengeneza mpasuko na uvunjifu wa amani nchini.
Lakini kama tujuavyo njia ya mwongo ni fupi,hila na uongo...
Friends and Our Enemies,
Kauli alizozisema sheikh mwaipopo na za kuungwa mkono na kila mzalendo na mpenda amani wa taifa letu.
Hakuna ubaya kabisa kama watu wanaopanga uhalifu kama walioufanya kipindi cha uchaguzi wakaachwa hivi hivi bila kuchukuliwa hatua.
Tukikukumbuka tulikotoka wachochezi...
Hiyo ni michezo ya kitoto sana
Kavalishwa kanga hapo anauliza suruali yako iko wapi?anasema imenasa kwenye miba...wakati anapambana kutoka kichakani
Kwann isinase hiyo flan yake inase suruali...hao mafala hizo movie zao zimeshafeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.