Hiyo ni michezo ya kitoto sana
Kavalishwa kanga hapo anauliza suruali yako iko wapi?anasema imenasa kwenye miba...wakati anapambana kutoka kichakani
Kwann isinase hiyo flan yake inase suruali...hao mafala hizo movie zao zimeshafeli
Sikiliza vizuri mahojiano yake anajicontradict mwenyewe.
Jiulize serikali lisu imemshikilia sero ana case ya kujibu...wana haja gani ya kuhangaika na msaidizi wake??
Eti anasema kiongozi wa hao watekaji ana lafudhi ya kizanzibari...umeona mantiki yake hapo??just connect dots....kuna sehemu...
Mkuu nakueleza kwa ukweli kabisa lile ni igizo.
Na polisi wakifuatilia vizuri hapo tutapata turning point ya maigizo yao
Mtu anatekwa kisha anatoroka na anapatikana akiwa amevaa kanga??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.