Naomba kufahamu kama hii kamisheni ishaanza kazi na wapi tunaweza kupata maelezo ya ziada?
Kampuni yetu iko na Makao Makuu China na information za wafanyakazi zinahifadhiwa huko pia. Je, kuna ulazima wa kampuni yetu kuwa registered na hii kamisheni?
Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.