Recent content by THAN0S

  1. THAN0S

    Zifuatazo ni ajira (kazi) za watoto wa maskini

    Boom la madaktari, mtu aliyepata asilimia 100 linazidi milioni 30..kumbuka wao wao wanasoma miaka 5 sio miaka 3.
  2. THAN0S

    Zifuatazo ni ajira (kazi) za watoto wa maskini

    Hajawahi... [emoji23][emoji23]
  3. THAN0S

    Zifuatazo ni ajira (kazi) za watoto wa maskini

    Mtu soma yake yenyewe ya mkopo anadaiwa millioni 32, baada ya miaka 2 anatakiwa aanze kulipa deni... Hiyo hela ya kufungua kituo anaiokota wapi... [emoji23]
  4. THAN0S

    Zifuatazo ni ajira (kazi) za watoto wa maskini

    Na National Housing, BOT
  5. THAN0S

    Zifuatazo ni ajira (kazi) za watoto wa maskini

    Bro, wanangu ma Dr. wako Kairuki, Bugando, Mloganzila hamna ishu... Kama huja specialise (masters ya miaka almost 3, hapo ndo paka iyo ada uwenayo?, kumbuka tayari una deni la undergraduate la Tsh. 30 million) hakuna kitu,na hata ukispecialise lazima ufanye atleast hospitali mbili ndo...
  6. THAN0S

    Zifuatazo ni ajira (kazi) za watoto wa maskini

    This is a very small percentage, watu wangapi baba zao Tanzania wanamiliki hospitali kubwa, acha tu hospitali, wangapi baba zao Tanzania wanamiliki large businesses... SME tu wachache
  7. THAN0S

    Zifuatazo ni ajira (kazi) za watoto wa maskini

    Average salary ya madaktari unaijua..,its a pity
  8. THAN0S

    Uchawi wa uzi wa nguo ya mtoto iliyochakaa au iliyotupwa barabarani

    Nipe elimu, ndo maana nimekuja kuuliza humu ?
  9. THAN0S

    Uchawi wa uzi wa nguo ya mtoto iliyochakaa au iliyotupwa barabarani

    Sielewi hoja yako ni ipi kaka..? Ni kwamba uamini kwenye ushirikiana, uganga, uchawi? Na una amini watu wanaoamini hayo mambo, wote ni wajinga?
  10. THAN0S

    Uchawi wa uzi wa nguo ya mtoto iliyochakaa au iliyotupwa barabarani

    Honestly nimeogopa kuuliza[emoji23], Huyu mtu hajui kama najua ila kuna mazingira flani yamenifanya nipate hiyo information. Najua watu wanafanya "sayansi za asili"(shirk) kwa imani zao kwamba zinwasaaidia kupata matakwa yao maishani, sema hii style ya hivi, nimekuwa curious kujua ni sayansi...
  11. THAN0S

    Uchawi wa uzi wa nguo ya mtoto iliyochakaa au iliyotupwa barabarani

    Unaijua hiyo nini? Huyu mtu kanitisha, kila nikifikiria kazi ya huo uzi bado sipati jibu.
  12. THAN0S

    Uchawi wa uzi wa nguo ya mtoto iliyochakaa au iliyotupwa barabarani

    @Mshana Jr na LIKUD Ma brother tupeni elimu hapa
Back
Top Bottom