Mtu soma yake yenyewe ya mkopo anadaiwa millioni 32, baada ya miaka 2 anatakiwa aanze kulipa deni... Hiyo hela ya kufungua kituo anaiokota wapi... [emoji23]
Bro, wanangu ma Dr. wako Kairuki, Bugando, Mloganzila hamna ishu...
Kama huja specialise (masters ya miaka almost 3, hapo ndo paka iyo ada uwenayo?,
kumbuka tayari una deni la undergraduate la Tsh. 30 million) hakuna kitu,na hata ukispecialise lazima ufanye atleast hospitali mbili ndo...
This is a very small percentage, watu wangapi baba zao Tanzania wanamiliki hospitali kubwa, acha tu hospitali, wangapi baba zao Tanzania wanamiliki large businesses... SME tu wachache
Honestly nimeogopa kuuliza[emoji23],
Huyu mtu hajui kama najua ila kuna mazingira flani yamenifanya nipate hiyo information.
Najua watu wanafanya "sayansi za asili"(shirk) kwa imani zao kwamba zinwasaaidia kupata matakwa yao maishani, sema hii style ya hivi, nimekuwa curious kujua ni sayansi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.