Hata hivyo, katika kumnukuu kwangu kila alichokuwa anakiahidi alikua anaweka maneno kwa kumshauri na kusaidiana na mh Rais wa Tanzania, maana yake hapo anajua nani ambaye yupo juu yake na yeye kama kiongozi mkuu wa pili wa nchiii hii baada ya mh Rais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.