Yaani lisu kugombea tuu wengine wameanza kuhara hahahaaa yaani eti kuna watu hawalali,wanatamani Ardhi ipasuke aisee lisu anadhihirisha kuwa nu mkali na anatisha na mungu yupo atashinda dadeki zao.
hawa jamaa wa ngada wako flexible sana mkuu siyo wa mchezo mchezo kiivo aisee naamini govt itakaza ila watabadili tu mfumo mfano tuu si tz tuu tunapiga vita hii kitu ila kuna nchi zipo vizuri kiteknolojia ila wanashindwa kuzuia kwa 100% mkuu so hii vita si ya siku mbili tatu.
mmh..sidhani kama kapelekewa coz naamini angepelekewa angeitikia wito mkuu hii movie si ya kitoto ila kwa mimi sioni mafanikio ya aina yoyote zaidi ya kuchafuana tuu hii vita haiendi popote coz ni ishu ya kijeshi na operation maalum tena ya kimya kimya hahaaa sasa ukinitangazia vita na kuniambia...
Hivi yule msanii aliyesemekana kashikwa china akiwa na sembe wakiwa na yule kijana wa mkulu aliyemaliza muda wake vepeeee?? na mtoto wa mkulu mstaafu vepeeee?? ila huyu si swaiba wa kufa na kuzikana wa mkulu wa mkoa??? Tehe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.