Recent content by Terence Tao

  1. Terence Tao

    Jifunze basic za python

    Tkinter using grid system Code zilitumika juu badala ya pack kutumika tunaweza kutumia grid kuweka vitu kwenye window Tunaweza kuzichukua taarifa kutoka kwa mtumiaji na kuzidisplay kwenye Application tuliyotengeneza au kuzipeleka kwenda kwenye database au tukazipeleka kwenda kwenye...
  2. Terence Tao

    Jifunze basic za python

    tkinter Hii ni GUI ( Graphical user Interface ) Hapa tunaweza kutengeneza mifumo mbalimbali katika computer yako , ambao mtumiaji atakuwa anaweka taarifa zake. Mfano mifumo ya hospitali, viwandani , kwenye mashule, mifumo ya kwenye masoko , mifumo ya standi , mifumo ya maduka n.k Ili tuweza...
  3. Terence Tao

    Jifunze basic za python

    Vitu ambavyo mpaka sasa hivi tumeviangalia ni 1.Comment 2.Data type 3.Operators in python 4.If statement 5.Loops 6.Lists 7.Dictionaries 8.Function Leo tuangalia namna ya kuanza kutengeneza basic Applications kwa kutumia tkinter (Graphical user interface,gui) ili tuweze kulink na tulivyosoma
  4. Terence Tao

    Jifunze basic za python

    Dictionary Dictionary katika python tunaitumia ili kutunza taarifa. Ili kuweza kusoma taarifa ya tulichokuwa tumekitunza katika dictionary tunakuwa tunatumia key ukilinganisha na List ambapo tunatumia nafasi ya data .Mfano mzuri ( Code : membersWaJamiiForum={ ‘x1’:’ni member wa kwanza wa Jamii...
  5. Terence Tao

    Jifunze basic za python

    Function in Python Function ni kundi la codes ambazo zinafanya task flani. -unaweza kuwa code ambazo zinakuwa zinafanya kazi ya kujumlisha, unaweza kuwa na code zinazoandika ujumbe kwa watu wengi kwa wakati mmoja mfano kuandika barua moja yenye taarifa tofauti za majina ya watu , namba za simu...
  6. Terence Tao

    Jifunze basic za python

    Katika Advancement ya AI zikiwepo Grok, Gemini, Chat Gpt, Deepseek, muhimu sana kujifunza programming maana unaweza kuletewa program ambazo hujui maana yake ukaenda kutengeneza kitu ambacho kikileta shida unashindwa kuelewa namna ya kutatua . Muhimu tujifunze programming ili ziturahisishie...
Back
Top Bottom