Recent content by Tenderobo

  1. Tenderobo

    Naomba Mnifahamishe Jamani!

    Mtoa mada ni ufauLu sio ufauRu, rekebisha.
  2. Tenderobo

    Ushauri: Nataka kuacha chuo

    Nimeomba chuo mwaka huu, lakini bahati mbaya nimeangukia kozi ambayo sikuipenda kutokana na competition, hivyo mimi binafsi napenda kuacha masomo kwa mwaka huu, ili nipate nafasi yakuja kuomba tena mwakani, Jee kunauwezekano wa kupata tena mkopo?
  3. Tenderobo

    Waliopata mikopo HESLB 2014/15

    Ardhi hadi lini?
  4. Tenderobo

    Majibu ya TCU bado hayajatoka?

    TCU Kulikoni tena mpaka sasa nikilogin nakuangalia selection status nakutana na mambo yale yale ya mwezi wa8 (not approved) au deadline imekuwa extended, msaada wenu wakuu.
  5. Tenderobo

    Majibu ya TCU bado hayajatoka?

    Shukran mkuu kwa ufafanuzi
  6. Tenderobo

    Majibu ya TCU bado hayajatoka?

    'Met min requirment' ina maana gani ktk selection status ya tcu?(Fafanua)
  7. Tenderobo

    Naombeni mawazo ili niweze kupata mkopo

    Before help TEKNOHAMA what is this?
  8. Tenderobo

    DIT Kulikoni

    Nilikuwa nahitaji kuapply engineer coz pale dit lakini colum ya possible loan imewekwa 0, kulikoni? Au mkopo ndo hamna
  9. Tenderobo

    Angalizo:brn

    Mkumbuke kuwa BRN imekuja BAADA ya wanafunzi wa kidato cha6 2014 kupapatua katika masomo yao ili angalau wapate E2 tu wajiunge na vyuo, na hawakujua kua hii system itatumika, therefore wote wanaowakashif na kuwakejeli wanafunzi wetu wapendwa wafunge mabakuli yao,F6 si ndio....
  10. Tenderobo

    TCU guide book

    Kuna uwezekano wa kupata mkopo?
  11. Tenderobo

    TCU guide book

    Wakuu, Waungwana, Binaadamu kwa anaejua, naomba maelezo ya NonPriority courses ndani ya mada ya hapo juu kwani kuna course nimeipenda lakini ndio hivo
  12. Tenderobo

    Naomba msaada jinsi ya kujaza fomu ya chuo

    Nipo darasa la pili ila kuna mshkaji wa diploma ndio namuulizia
  13. Tenderobo

    Naomba msaada jinsi ya kujaza fomu ya chuo

    Posta iliyo karibu yako au mahali tu unaishi
Back
Top Bottom