Pole sana, mi nakushauri tafuta mfanyakazi wa ndani awe anafanya hayo majukumu ambayo mkeo anashindwa kuyafanya, lakini hapa sina maana kwamba umfanye huyo mfanyakazi awe mke wa pili la! majukumu ya kwenye sitakwasita ni ya mkeo tu na si vinginevyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.