Si mpenzi bali ni ex kwa sasa( tuliachana kwa sababu ya mimi kusafiri na long distance tulikubaliana hatutaweza), lakini huyu dada alikua ananifanya nijihisi napendwa kwa mambo mengi sana. Tulikutana chuo akiwa mwaka wa kwanza mimi wa pili, baada ya kuzoeana nikamtongoza akakubali na ndipo...
HI, I am a guy, there is this mentality that girls are always after money when a guy approaches them, but i can honestly say that i have been lucky enough to be in three different relationships with women who completely like me for who i am and not what i have. I think the major problem is that...
Kwa mfano, mwanaume akiwa na umri mdogo kuliko mwanamke, au mahusiano ya kimwili tu si mapenzi (friends with benefit) au ukute ni kuwa partners pasipo na drama au mahusiano ya kimaslai (sugar dating) nk.
Hayo mahusiano kwa hapa TZ yakitokea wahusika huonekana ni watu waajabu sana, issue kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.