Habari wadau,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, naishi Dar es salam, Wazo, Salasala.
Ninashahada ya ualimu wa masomo ya Geography na English, pia naweza kutumia compyuta japo sio sana.
Natafuta kazi itakayoniwezesha kujikimu kimaisha. Sio lazima iwe ya kitaaluma, niko tayari kujifunza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.