Recent content by Tegemeo Sambili

  1. T

    Vijana na mawazo potofu juu ya CHADEMA

    Wapo Vijana Wachache sana Wenye Matumaini Makubwa na Chadema,Wanaamini Kabisa ya Kwamba Kama Chadema Ikichukuwa Nchi,Watanzania Tunaweza Kuishi Kama Marekani au Ulaya Magharibi, Wanaamini Hakutakuwa na Njaa wala shida,Wanaamini Ajira Zitakuwa Nyingi Kama Mchanga wa Bahari,Kutakuwa na Barabara...
  2. T

    Makonda: Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania wala Mwenyekiti wa CCM

    Mwana CCM Makini, Anaetumia Ubongo Kufikiri Lazima Atajiuliza Maswali Yafuatayo: 1. 1. Hivi Huyu Paul Makonda ni Msemaji wa UVCCM au wa CCM?? 2. 2. Hivi MATAMKO Haya Anayoyatoa kwenye Vyombo vya Habari Ametumwa na UVCCM Kweli?? 3. 3Nani Anampa KIBURI Kijana Mdogo,Asiekomaa...
  3. T

    Shamba darasa

    SHAMBA DARASA Ni vema ifahamika ya kwamba wasomi ni chachu ya Maendeleo nchini,Baadhi ya vijana wamesomeshwa na Kupewa Kipaumbele kikubwa na Serikali kutokana na nature ya Programme zao na Umuhimu wao katika kutoa huduma za Kijamii. Mfano! Walimu Baadhi ya Walimu wamepangiwa Vijijini...
  4. T

    Shamba darasa

    SHAMBA DARASA TUJIFUNZE KUTOKA KWA MAJIRANI ZETU (Hapa Wavivu wa Kusoma Wakae Pembeni) Hosni Mubarak alikuwa rais wa Misri kuanzia 14 Oktoba 1981 hadi 11 Februari 2011.Alipata cheo hicho Baada ya Aliekua Rais wa Misri Anwar Saadat Kuuwawa kwa Kupigwa Risasi 1981.Aliiongoza Misri kwa...
Back
Top Bottom