Recent content by Team Lumumba

  1. T

    CCM yamvua uanachama Mwakilishi wa Kiembesamaki, Mansoor Yussuf Himid

    Ina Maana uko Kinyume na Msimamo wa Chama Chetu?
  2. T

    SHIGELA is a disgrace to CCM

    Mkuu Kazi niliyoianza CCM naona inaanza kuzaa Mtaunda baada ya Shigela sasa itakuwa zamu ya Naibu Katibu Mkuu Mwigulu Nchemba na Misukule wake Juliana Shonza na Mtela Mwampamba NAKUHAKIKISHIA WATANG"OKA. Mkuu bado naipenda CCM kama chama ila nachukizwa na Siasa za Baadhi ya Viongozi na Utegemezi...
  3. T

    SHIGELA is a disgrace to CCM

    Mlioniita Gaidi wa CHADEMA sasa sijui mtajisikiaje mkiona Bosi wenu Shigela anang'oka. Yes I Said It! He is a Disgrace and He is in his way Out
  4. T

    Picha: Nawashukuru sana wanairamba kwa rekodi hii ya jana, Pole sana Dr. Slaa...

    Mkuu sitakuita Mnafiki kwa sababu najua Udhaifu wako. Nakushauri tafuta kazi ili uwe na FREE MIND kama wana CCM wengine ambao wana uthubutu wa kukosoa pale wanapoona hapaendi sawa. Mkuu Kuna Maelfu walioenda Kuangalia SIMBA na kuna Makumi walionda kwenye Mkutano wa KATIBA. Kwa Kiongozi Mwerevu...
  5. T

    Picha: Nawashukuru sana wanairamba kwa rekodi hii ya jana, Pole sana Dr. Slaa...

    Anajipongeza kwa kufanikiwa Kuwarubuni Wananchi wake waende Kuingalia Simba na Kuacha Mkutano wa Kujadili Katiba. Halafu kuna Wapuuzi ndani ya chama chetu wanamuona Jasiiiiri
  6. T

    Picha: Nawashukuru sana wanairamba kwa rekodi hii ya jana, Pole sana Dr. Slaa...

    Ingawa Nape Nnauye ana shule ya kuungaunga ana Busara nyingi na anajua wapi afanye nini na wape asifanye Lakini Mwigulu Ana Shule Nzuri lakini anakosa Busara za Nappe Mwanadiwani HAMY-D Ritz
  7. T

    Picha: Nawashukuru sana wanairamba kwa rekodi hii ya jana, Pole sana Dr. Slaa...

    Wakati Wenzetu WANAWEKEZA kwa vijana walio na AKILI sisi tuko BIZE Kudunisha Bongo za Vijana wenzetu ili wasituhoji pale tunapokesea
  8. T

    Picha: Nawashukuru sana wanairamba kwa rekodi hii ya jana, Pole sana Dr. Slaa...

    Mkuu MwanaDiwani sihitaji kuwa na Mawazo yanayofanana na yako na Kusema kwamba wana CCM wote tunatakiwa tuwe na Mawazo yanayofanana ni Ujinga. Ningemuina Mwigulu mtu wa maana sana kama angeitisha Mkutano wa Kisiasa JANA ili kuwa na Good Comparative analyisis lakini hili la Kualika SIMBA bure na...
  9. T

    Picha: Nawashukuru sana wanairamba kwa rekodi hii ya jana, Pole sana Dr. Slaa...

    Is Dr. Slaa that much Threat to us Mpaka tutumie Burudani Kumhujumu? Ni vipi tunaweza kulingalisha Kukubalika kwetu kama tunatumia hizi mbinu za kitoto
  10. T

    Picha: Nawashukuru sana wanairamba kwa rekodi hii ya jana, Pole sana Dr. Slaa...

    Mkuu MwanaDiwani are we (CCM) that much desperate mpaka tushangilie Huruma hii ya Simba?
  11. T

    Picha: Nawashukuru sana wanairamba kwa rekodi hii ya jana, Pole sana Dr. Slaa...

    Hakika Mwalimu Nyerere angekuwa Hai halafu akaona eti vijana wa Chame Chake wanapost huu Upuuzi ama angejitoa katika chama ama angekufukuza kwa Bakora
  12. T

    Picha: Nawashukuru sana wanairamba kwa rekodi hii ya jana, Pole sana Dr. Slaa...

    This is shame kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Changu. Yaani uliwaleta Simba ili Wananchi wasiende kwenye Mkutano wa CDM? Are really afraiding CDM to that Extent?
  13. T

    Polisi wamtaka Sheikh Ponda ajitokeze kusema nani alimpiga risasi

    Prof. Lipumba kathibitisha Sheikh Ponda amepigwa risasi na Polisi
  14. T

    Tahadhari: Sakata la Sheikh Ponda lisifanyiwe siasa!

    Kama kawaida Pumba Juu ya Pumba HAMY-D
Back
Top Bottom